Haya Dc wa bagamoyo kafanya mbwai kwanza?Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Hao ni chawa wa Mama kutoka UVCCM!!Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Amefanya nini?.Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Kwani kafanya nini mkuu? Hebu lete clip tumsikie. Umeandika kwa ufupi sana.Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
[emoji7]Amefanya nini?.
Siku hizi mnabahati sana na hii jf ya sasa mtu unapandisha bandiko halina kichwa wala miguu, linafyekwa dakika sifuri!
P
[emoji7]Kwani kafanya nini mkuu? Hebu lete clip tumsikie. Umeandika kwa ufupi sana.
Hivi Mods andiko kama hili linastahili kuwamo ktk chombo hiki bora kabisa?Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
[emoji7]Hivi Mods andiko kama hili linastahili kuwamo ktk chombo hiki bora kabisa?
Bandiko halina uso waka kisogo.
Mods, kweli? Kweli?
Iko wapi ile Jf ya GT??
Mkuu unaandika kama sisi wote tunamfahamu huyo DC.Swali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Huyo ni bi mdogo wa Bulembo!! Elewa ni bi mdogoSwali kidogo.
Hawa viongozi wanamatatizo.
Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.
Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?
Au ndio kuzidiana Dumba?
Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?
My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Nchi ya hovyo sana hii! Wana akili za panya kabisa!Usije kushangaa Doto Magari kuja kuwa DC au hata RAC, hapa bongo kinachoangaliwa ni kiwango chako cha uchawa, Nchi iko kwenye auto pilot