A
Anonymous
Guest
Transfoma limeharibika kila ukipiga simu wanasema wanashuhulikia, ndio mwezi mzima?
Tafadhali Tanesco kanda ya Pwani tuooneni huruma miradi inakufa maisha yanakuwa magumu, karne hii bila umeme ni changamoto.
Wadau huwa mnafanyaje ili Tanesco wawa shughulikie mepema
Tafadhali Tanesco kanda ya Pwani tuooneni huruma miradi inakufa maisha yanakuwa magumu, karne hii bila umeme ni changamoto.
Wadau huwa mnafanyaje ili Tanesco wawa shughulikie mepema