Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
myth inasema kuwa zamani bahari hiyo ilikuwa ya kawaida tu ila baada ya yule mfalme na watu wake kufa kipindi kile cha musa ilibadilika na kuwa nyekundu
je hadi leo ni nyekundu?
Wanajf nataka kujuzwa kwanini hiitwe BAHARI NYEKU[RED SEA] na isiitwe jina lake la awali BAHARI YA SHAM [SHAM SEA]?kuna Siri Gani Hapa? Na Kwa Nini? Source=RAMANI YA DUNIA [THE WORLD MAP]
Ina maana wataalamu haeajauona huu uzi..
ushauri tu ukiandika soma kabla huja post
Kilimanjaro maana yake mlima wa mungu,je! bado mungu anaishi mlimani pale?