Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Yanga ndio Concord wa uhuni wote Tanzania,sijui unataka kusemaje.Tunamkumbusha HERSI na Genge lake, huu uhuni haujawahi kudumu Tanzania!
Mashabiki wengi wa mpira nchi hii elimu yenu ni ndogo sana.Naweza nikasema Yanga wanafanya michezo michafu sana kwenye Ligi yetu.Hii ni hatari sana kwa Soka la Tanzania
Sasa kwanini hua mnawalaumu kina Bocco na Saido wakati tatizo ni MwiguluMchezo umeisha.Hii TFF na Bodi ya ligi hawaoni hii conflict of interest.
Nasubiri jibuTarehe 5/11/2023 mlipewa bahasha yenye kiasi gani?
5/11/2023 ndo mchezo mchafu alofanya YangaNaweza nikasema Yanga wanafanya michezo michafu sana kwenye Ligi yetu.Hii ni hatari sana kwa Soka la Tanzania
Comrade! hata kama wewe ni mbumbumbu kichwani, bado unatakiwa kuficha huu udhaifu wako. Maana inawezekana kabisa hapo ulipo ni baba wa familia.Sina neno picha imejitosheleza.View attachment 2929876
Mbumbumbu huwa wanaamini bahasha za Yanga huwa wanapewa timu nyingine tu. Wao wakifungwa, lawama zote ni kwa Mangungu na wachezaji.Tarehe 5/11/2023 mlipewa bahasha yenye kiasi gani?
Wanajitoa ufahamu, siku za nyuma mpaka waziri mkuu na mkuu wa mkoa makonda wote walikuwa Simba na maisha yakaenda.Punguzeni hisia wazee...,Mbona Tff, wizara ya michezo kuanzia Waziri mpaka Naibu wote Simba na wala hausikii Yanga wakilialia.
Mwigulu ni Mwanachama kindaki ndaki wa Yanga usisahau hiloComrade! hata kama wewe ni mbumbumbu kichwani, bado unatakiwa kuficha huu udhaifu wako. Maana inawezekana kabisa hapo ulipo ni baba wa familia.
Huyo Mwigulu ni mmiliki wa hiyo timu. Hivyo huwezi kumzuia/kumpangia kwenda kuwapa hamasa hao wachezaji wake; kisa tu ni mwanachama wa Yanga.
Na hiyo hamasa anayowapa, sidhani kama ina uhusiano wowote na huo ujinga wako unaotaka kutuaminisha hapa.
Pia ni mjumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Yanga 😀Mwigulu ni Mwanachama kindaki ndaki wa Yanga usisahau hilo
Kivipi? Lete H2H tuone nani mbabe.Timu la magumashi, yalipoona Ihefu haimuwezi wametoa kampuni yao awe mdhamini. Kazi ipoo
Kwa hiyo katika hali ya kawaida, unataka uniambie ameenda kuwaona hao wachezaji ili kuwashawishi kucheza chini ya kiwango ili wafungwe na Yanga?Mwigulu ni Mwanachama kindaki ndaki wa Yanga usisahau hilo
Mikia aisee,mna shidaTunamkumbusha HERSI na Genge lake, huu uhuni haujawahi kudumu Tanzania!