Bahasha yafunguliwa.kama ulihusika ungelifanya aje??...sio ya the hague..

Bahasha yafunguliwa.kama ulihusika ungelifanya aje??...sio ya the hague..

fundiaminy

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2009
Posts
354
Reaction score
52
Basi baada ya mazishi ya msichana mmoja mrembo sana hapa mtaani,mc alitangaza kuwa bibie kabla aage alitoa bahasha ambayo ingesomwa wakati wa mazishi.basi ilibidi aifungue ile bahasha na kilichokuwa ndani wakuu msishangae.ni majina 25 ya vijana ambao waliwahi kufanya mapenzi na marehemu na kwa bahati nzuri ama mbaya ni ukimwi uliommaliza.je,kama jina lako lingekuepo cku hiyo ungelifanyaje???
 
nisingeenda kupima...ningechukulia poa tu kwani nini
 
Basi baada ya mazishi ya msichana mmoja mrembo sana hapa mtaani,mc alitangaza kuwa bibie kabla aage alitoa bahasha ambayo ingesomwa wakati wa mazishi.basi ilibidi aifungue ile bahasha na kilichokuwa ndani wakuu msishangae.ni majina 25 ya vijana ambao waliwahi kufanya mapenzi na marehemu na kwa bahati nzuri ama mbaya ni ukimwi uliommaliza.je,kama jina lako lingekuepo cku hiyo ungelifanyaje???

Hakuna mwenye busara yeyote anayeweza soma hiyo bahasha ya mambo ya ki-ngono msibani.... labda wawe vichaa!!! kimila tumezoea kumsetiri marehemu hata kama alikufa kwa kufumaniwa au alikuwa jambazi!!
 
Hakuna mwenye busara yeyote anayeweza soma hiyo bahasha ya mambo ya ki-ngono msibani.... labda wawe vichaa!!! kimila tumezoea kumsetiri marehemu hata kama alikufa kwa kufumaniwa au alikuwa jambazi!!


hii imekaa kijoke-joke, ingepelekwa huko kwenye utani. marehemu bana hata akiwa mtu mbaya tunamremba kwa maneno mazuri kama "marehemu alikua mtu mwema...", "marehemu ameacha pengo lisilozibika....." etc
 
Hakuna mwenye busara yeyote anayeweza soma hiyo bahasha ya mambo ya ki-ngono msibani.... labda wawe vichaa!!! kimila tumezoea kumsetiri marehemu hata kama alikufa kwa kufumaniwa au alikuwa jambazi!!
Ningetulia na baada ya hapo ni usawa wa kupima,na kusubiri matokeo
UKIPANDA MBEGU USIZOZIJUWA ,UTAVUNA MAVUNO USIYOYATARAJIA
 
Basi baada ya mazishi ya msichana mmoja mrembo sana hapa mtaani,mc alitangaza kuwa bibie kabla aage alitoa bahasha ambayo ingesomwa wakati wa mazishi.basi ilibidi aifungue ile bahasha na kilichokuwa ndani wakuu msishangae.ni majina 25 ya vijana ambao waliwahi kufanya mapenzi na marehemu na kwa bahati nzuri ama mbaya ni ukimwi uliommaliza.je,kama jina lako lingekuepo cku hiyo ungelifanyaje???

Pole sana Fundiaminy tumepokea ujumbe wako kwa masikitiko makubwa kusikia Mtanzania mwezetu umeliva jinamizi la ukimwi baada ya kufanya mapenzi na huyo Marehemu , ningekuomba usiendele kufanya mambukizo kwa wengine kwani hayo sio madili ya Mtanzania.
 
Back
Top Bottom