Bahati bukuku na utajiri wa kutisha

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Siku za hivi karibuni nilibahatika kutembelea nyumba anayoishi mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku iliyopo maeneo ya Kibamba, kwa kweli niliogopa, Bahati anaishi kwenye ghorofa la kifahari mno na la kisasa.

Hakika huyu mwanamuziki anaishi maisha mazuri sana, hongera zake, ila nilijiuliza ni mziki tu wa Injili ndio umemuwezesha kujenga ghorofa la thamani kiasi kile? Nilitamani kupiga picha mbea mie sema haikuwezekana kutokana na mazingira yaliyokuwepo, ila Bahati sasa ivi ni millionaire.
 
ndio ujue jina zuri umbariki mwenyewe
ungekua mateso uwenda asungekuwa ivo
 
Basi haya tufanye yeye ni donkey maana ndo lengo lako
 
Yaani na umbea wako wote huo hilo swali la ni muziki tu au kuna kingine umeshindwa/umeogopa kuuliza ?? lakini pia usisahau kumuombea kiba pa kulala kwa huyo milionea wako bahati bukuku maana kijana wenu anahazirika huko vyombo vimetupwa nje
 
Hongera kwake.
Ila Warumi ungepata picha ingekuwa vema sana.

NIlienda na mtu binamu, si unajua heshima, ila next time nitaenda mwenyewe kinyemela nikapige na picha kabisa, maana lile jumba kidogo nikatae kurudi kwetu tandika, sio jumba lile aiseeh, ata baadhi ya wabunge hawana
 
hv ukiishi kwenye ghorofa ndio tajiri wa kutisha eee?
 
Naona warumi ameleta hii habari yake hapa kuja kubadilisha upepo wa sekeseke la alkiba kutupiwa vitu nje! Lol
 
Last edited by a moderator:
Mtu akijenga ghorofa tu, "utajiri wa kutisha"!
 
'Hekima zako busara zako Lowasaaaa' by Bahati Bukuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…