Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Wachungaji nao Ni binadamu jamaniaache unaa anashindwa wasitiri wachungaji mbona wao wanayo mengi ya ovyo tu
Ila huyu dada kajichubua khaaa...!!!
Anaimba uzuri kuna baadhi ya nyimbo zake nazipenda.
Kwa mada hii Hata nyimbo zake zinaonesha mahusiano yake, asilimia 80 ya nyimbo zake ni za kulalamika ni kama hakuna anayemuelewa anayopitia....
Walipanga kwetu goig..kila sk ilikua mshike mshike..waliachania hapo goig..dan alikua ana dalili zote kuwa mgonjwa..ni muda ingawa..nadhan ilikia 2004/5!shoga kang'aa
Maskini.... Bora aendelee kujifariji na nyimbo za injili.... Moyo wa mtu kichaka...
aliteseka sana sana hasa kupoteza watoto..huyo Dany hata mm alikua ananitakaππ..enzi bado kbs kabinti..lol..alikua ameungua mdomo kbs..pyee!anaimba vzr sana Bahati. nampendaga
Hivi inamaana sasa Bahati hana mtoto kabisa...!! Duuh maisha haya...
Hana kabisa...!
Anauza mikorogo na ndugu yake.wamejichubua balaa.Ila huyu dada kajichubua khaaa...!!!
Anaimba uzuri kuna baadhi ya nyimbo zake nazipenda.
Kwa mada hii Hata nyimbo zake zinaonesha mahusiano yake, asilimia 80 ya nyimbo zake ni za kulalamika ni kama hakuna anayemuelewa anayopitia....
manengelo kwani bwana dani aliugua nini? Maana bahati ni shemeji kwa rafiki yangu
Maskini.walifariki wachanga au? Au damu hazikuendana na mume?aliteseka sana sana hasa kupoteza watoto..huyo Dany hata mm alikua ananitaka[emoji58][emoji58]..enzi bado kbs kabinti..lol..alikua ameungua mdomo kbs..pyee!anaimba vzr sana Bahati. nampendaga
Anauza mikorogo na ndugu yake.wamejichubua balaa.
Ila nikikumbuka jinsi gwaji boy alivokuwa anamgegeda Yule dada vizuri natamani wachungaji na mie
Anauza mikorogo na ndugu yake.wamejichubua balaa.
Ila nikikumbuka jinsi gwaji boy alivokuwa anamgegeda Yule dada vizuri natamani wachungaji na mie