[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]miss nakugawa..ile siku niliingalia km mara30..mikono mapajani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahhaha...woooza!
aache unaa anashindwa wasitiri wachungaji mbona wao wanayo mengi ya ovyo tu
Wachungaji nao Ni binadamu jamani
Mie bado sijaifuta huwa naipigia puchu
Gwaji ni askofu sio Mchungaji usi muanderate, yeye ni advanced level....mauno yale kwa Wachungaji wanasubiri, mpaka nao wafikie uasikofu.
Kwani Baba Mchungaji sio mtu?
Tatizo langu na nyimbo za huyu muimbaji ni kutumia 'R" panapostahili 'L". Hao wanaorekodi wanaruhusu vipi kuharibu kiswahili. Mwimbaji ajitahidi matumizi sahihi ya hizo herufi.
Kuna wakati nao wanakuwa waroho kwahiyo wavumilieni tu,r
Tunaaminigi kuwa muda mwingi wako kiroho zaidi
Kuna wakati nao wanakuwa waroho kwahiyo wavumilieni tu,
kama unaweza kumpa dereva bodaboda kwanini umnyime mchugaji wa watu masikini?
Walipanga kwetu goig..kila sk ilikua mshike mshike..waliachania hapo goig..dan alikua ana dalili zote kuwa mgonjwa..ni muda ingawa..nadhan ilikia 2004/5!shoga kang'aa
Dan ameoa kwa sasa!
Mfungulie Thread Yake Tupate Uhondo ππSina hakika sana bwana boss..tuishie hapa
khaaa hiyo kazi anaiwezea binamu warumiMfungulie Thread Yake Tupate Uhondo ππ
Warumi Ile Ni Mashine Nyinginekhaaa hiyo kazi anaiwezea binamu warumi
Dany Anapenda Sketir
Tunaaminigi kuwa muda mwingi wako kiroho zaidi
Mi ni mtu kabisa na nina hisiaKwani Baba Mchungaji sio mtu?