Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote lakini mwanamke ana haki ya kulalamika kabakwa kwasababu alikuwa hajitambui watu kibao ni wahanga wa hizi kesi, n.k.
Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha mama yake umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, watu huwa wanafanya sherehe wakimaliza kulipa child support, Ni kawaida sana kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi kwajili ya child support, kina mama wengi wanatumia pesa hizi kujikimu,
Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, Mwanaume huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni unapewa kesi ya domestic ciolence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia.
Kuhusu mabinti wa kibongo useme uwapeleke state (Import) hao wengi wakifika state huwa wanabadilika mno,
DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa marekani, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.
Madada poa wapo lakini wana bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3
Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha mama yake umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, watu huwa wanafanya sherehe wakimaliza kulipa child support, Ni kawaida sana kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi kwajili ya child support, kina mama wengi wanatumia pesa hizi kujikimu,
Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, Mwanaume huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni unapewa kesi ya domestic ciolence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia.
Kuhusu mabinti wa kibongo useme uwapeleke state (Import) hao wengi wakifika state huwa wanabadilika mno,
DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa marekani, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.
Madada poa wapo lakini wana bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3