Bahati inapogeuka kuwa taabu: Watanzania wanaoishi Marekani na Ulaya wanapiga pesa lakini kwenye suala la wanawake wanapata taabu sana

Bahati inapogeuka kuwa taabu: Watanzania wanaoishi Marekani na Ulaya wanapiga pesa lakini kwenye suala la wanawake wanapata taabu sana

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote lakini mwanamke ana haki ya kulalamika kabakwa kwasababu alikuwa hajitambui watu kibao ni wahanga wa hizi kesi, n.k.

Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha mama yake umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, watu huwa wanafanya sherehe wakimaliza kulipa child support, Ni kawaida sana kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi kwajili ya child support, kina mama wengi wanatumia pesa hizi kujikimu,

Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, Mwanaume huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni unapewa kesi ya domestic ciolence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia.

Kuhusu mabinti wa kibongo useme uwapeleke state (Import) hao wengi wakifika state huwa wanabadilika mno,

DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa marekani, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.

Madada poa wapo lakini wana bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3
 
Kuhusu mabinti wa kimarekani wana taratibu zao, mila zao na walivyokuzwa lazima mtapishana maana malezi yao ni tofauti na yetu, Wanawake wengi wamekuzwa kwenye mazingira ya kuwaamnisha wao ndio viongozi wa familia, Mwanaume hana kauli juu yao, Mwanaume huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni unapewa kesi ya domestic ciolence, hali hii ni tofauti sana na malezi yetu ya bongo ambayo Baba ndo kichwa cha familia.

Kuhusu mabinti wa kibongo useme uwapeleke state (Import) hao wengi wakifika state huwa wanabadilika mno,

Mazingira yanayowapa kipaumbele wanawake - Marekani / Ulaya mwanamke anatukuzwa sana, Huruhusiwi hata kumfinya ukijaribu tu polisi wapo mlangoni kesi ni domestic violence, Mnaweza kulewa wote lakini mwanamke ana haki ya kulalamika kabakwa kwasababu alikuwa hajitambui watu kibao ni wahanga wa hizi kesi, n.k.

Child Support - Si kama huku bongo kwamba utampa binti uja uzito kisha mama yake umpe laki 1 kila mwezi, kule ni uwanja tofauti kabisa, watu huwa wanafanya sherehe wakimaliza kulipa child support, Ni kawaida kwa mtu mwenye kipato cha chini kuamuriwa kulipa milioni 2 kila mwezi "kwa mtoto moja", kina mama wengi hasa wamarekani weusi na waafrika wanaohamia wanatumia mbinu hii kupata pesa za kujikimu,

DIVORCE - ni tatizo kubwa sana kwa marekani, Utafiti uliofanyika ni kwamba nusu ya ndoa zote wanandoa huachana, ndoa hazipo stable sababu mwanamke ana nguvu sana inafikia kipindi wanaume wanachoka, wanawake wanaotaka kuishi kwa child support, n.k.

Madada poa wapo lakini wana bei mbaya sana, Kwa usiku moja ni laki 3
Tumia akili we mpumbavu acha ku complicate mambo!
 
Tumia akili we mpumbavu acha ku complicate mambo!
Hapo upumbavu wake nini? JF bana siku hizi imekuaje badala uchangie au usome tu upite hivi unakuja kucomment sh!t kana kwamba mtoa mada una ugomvi nae...

Pamoja na kua kama kaandika upumbavu ila mie nimeondoka na kidogo ambacho huenda sikuijua before au sikua makini kufatilia..
 
Laki 3 hata bongo mbona wapo
Mmoja majuzi hapo Bongo aliniambia pigo moja Laki 3, kwavile nilikuwa maji na tayari alishanivutia nilimpatia ila baada ya pigo...akawa ananiuliza kama nimebaki na pesa ya chai asubuhi au anigawie kidogo. Hivyo akanionea huruma akanipatia 20,000 ya chai asubuhi.
Wezi ni wengi sana.
 
Mmoja majuzi hapo Bongo aliniambia pigo moja Laki 3, kwavile nilikuwa maji na tayari alishanivutia nilimpatia ila baada ya pigo...akawa ananiuliza kama nimebaki na pesa ya chai asubuhi au anigawie kidogo. Hivyo akanionea huruma akanipatia 20,000 ya chai asubuhi.
Wezi ni wengi sana.
😆😆😆Pole na hapo unakuta umekunywa hata 50 haijafika
 
haya mambo hata hapo bongo yapo njiani, wale wapuuzi wanopigania haki sawa sijui haki za wanawake ni wakullaniwa kabisa. Tunalichukulia poa lakini itafika muda tutaishia kama zilivyo nchi za magharibi
 
Back
Top Bottom