🙂 ...
watoto wa kileo wanakwambia TATIZO NYOTA
May be it's about the timing of when, where and how.
Mkuu CharmingLady , asante kunitonya hii mada!.
watoto wa kileo wanakwambia TATIZO NYOTA
.......Kwa mtazamo wangu, bahati mtu unazaliwa nayo pia inaweza kuja kwa kujitoa kwako.
Unaweza kujitoa kwa kusaidia wale watu wasiojiweza, wakikupa neno shukrani kutoka moyoni basi nawe utabarikiwa.
Vile vile juhudi zako mwenyewe kwenye kutafuta zaweza leta bahati, utafanikiwa hadi utashangaa!!
Mkuu Charming Lady, asante kunitonya hii mada!.
Kwa kuanzia, in reality, hakuna kitu kinachoitwa bahati, lucky, wala hakuna bahati nzuri, good lucky wala hakuna bahati mbaya, bad lucky, zote hizi ni "works of powers" from within!. There is nothing new under the sun, everything that happens ni pre meditated move, it had to happen that time, na vivyo hivyo ilivyotokea!, ndio manna unashauriwa always shukuru kwa yote, liwe zuri au baya, lilikuwa litokee tuu!.
Maombo yote kwenye maisha yetu yako controlled by the will within us, sasa hii will iki fanya mema, inajenga kitu kinachoitwa "good will" na hii ndio wanaiita bahati!, kismat etc. Ukifanya mabaya unapata "bad will" ndio inaitwa bahati mbaya, balaa au majanga!.
Hii will inakuwa influence positively kufanya mambo mazuri na negatively kufanya mambo mabayo, na ukumbuke lolote linalokupata, it's your own making!.
Kwenye hayo mazuri na mabaya ya will na hapa ndipo kitu kinachoitwa "karma" kina play part, ukifanya maovu, utalipwa maovu na majanga yatakukuta na kuishia kusema ni bahati mbaya, mikosi, majanga, na mabalaa!. Ukifanya mema, utalipwa mema, ndio hiyo inaitwa bahati nzuri, mambo super, neema tele!.
Tatizo la karma, kama haijabance, fidia in a transfer to next generation, hii ndio watu wanaita curse, laana!, yaani unajikuta unamikosi mwanzo mwisho, kumbe ni makosa ya mababu zako!.
Ukisha realise you are on the control of your destiny, be positive with affirmatives you want the best, you'll get the best!.Hata ukiingia casino, unaweza ku will machine ikatema on your favour, ukavuna pesa!.
Ila pia kuna kitu kinaitwa mikosi ya kujitakia, ni mtu kutokuwa mwangalifu na kitu kinachoitwa love compatibility,ambapo uki date na a compatible, unatengeneza good will, kismati, life ina shine, mnapata mafanikio makubwa na furaha milele!, uki date na incompatible unajiletea nuksi, ni majanga, na ma balaa kwa kwenda mbele!, siku zote unapokutana na mtu ambaye sio, kuna signs kibao zinakuambia sio, ila una zi ignore, na hata yanapokukuta, unaweza usijue uko na mtu mwenye nuksi, unabakia kujisemea sijui nina mahati mbaya gani!.
Pasco
may be uwenda
possibility inapokuwa ndogo kinachofata hapo ni bahati tu
kwamfano ni kama bahati tu unapochelewa airpot unakuta nayo flight imechelewa hivyo unaingia. Au ni kama bahati tu kuokota dola 100 asubuhi ..
Katika rundom selection ambapo wengi mnakuwa na equal chance bahati inaweza ikakuangukia
Mkuu Charming Lady, asante kunitonya hii mada!.
Kwa kuanzia, in reality, hakuna kitu kinachoitwa bahati, lucky, wala hakuna bahati nzuri, good lucky wala hakuna bahati mbaya, bad lucky, zote hizi ni "works of powers" from within!. There is nothing new under the sun, everything that happens ni pre meditated move, it had to happen that time, na vivyo hivyo ilivyotokea!, ndio manna unashauriwa always shukuru kwa yote, liwe zuri au baya, lilikuwa litokee tuu!.
Maombo yote kwenye maisha yetu yako controlled by the will within us, sasa hii will iki fanya mema, inajenga kitu kinachoitwa "good will" na hii ndio wanaiita bahati!, kismat etc. Ukifanya mabaya unapata "bad will" ndio inaitwa bahati mbaya, balaa au majanga!.
Hii will inakuwa influence positively kufanya mambo mazuri na negatively kufanya mambo mabayo, na ukumbuke lolote linalokupata, it's your own making!.
Kwenye hayo mazuri na mabaya ya will na hapa ndipo kitu kinachoitwa "karma" kina play part, ukifanya maovu, utalipwa maovu na majanga yatakukuta na kuishia kusema ni bahati mbaya, mikosi, majanga, na mabalaa!. Ukifanya mema, utalipwa mema, ndio hiyo inaitwa bahati nzuri, mambo super, neema tele!.
Tatizo la karma, kama haijabance, fidia in a transfer to next generation, hii ndio watu wanaita curse, laana!, yaani unajikuta unamikosi mwanzo mwisho, kumbe ni makosa ya mababu zako!.
Ukisha realise you are on the control of your destiny, be positive with affirmatives you want the best, you'll get the best!.Hata ukiingia casino, unaweza ku will machine ikatema on your favour, ukavuna pesa!.
Ila pia kuna kitu kinaitwa mikosi ya kujitakia, ni mtu kutokuwa mwangalifu na kitu kinachoitwa love compatibility,ambapo uki date na a compatible, unatengeneza good will, kismati, life ina shine, mnapata mafanikio makubwa na furaha milele!, uki date na incompatible unajiletea nuksi, ni majanga, na ma balaa kwa kwenda mbele!, siku zote unapokutana na mtu ambaye sio, kuna signs kibao zinakuambia sio, ila una zi ignore, na hata yanapokukuta, unaweza usijue uko na mtu mwenye nuksi, unabakia kujisemea sijui nina mahati mbaya gani!.
Pasco