STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 837
- 672
Katika jamii yetu kumeenea hili jambo la bahati njema(GOOD LUCK) na bahati mbaya(BAD LUCK).Tumefika kipindi jamii inawaona watu wenye mafanikio(kazini/bizness) kuwa ni result ya good luck. Na maskini au wenye mafanikio kiasi ni result ya bad luck. Hebu wakuu tuyajadili haya:
1. Kuna huu msemo/tabia ya kuamini kuwa One day yes(ipo siku ntafanikiwa tu)...je ipo kweli iyo one day.
2.Je bahati nzuri/mbaya ipo? na mtu anaweza kufanyaje ku attract either of them
3.Je kuna watu wamezaliwa na bahati njema(wana zali) na wengine wamezaliwa na bahati mbaya(wana gundu).
4.Je imani/hali ya watu kushindwa jambo na kusema 'mungu hakupenda' ni sahihi? au ni kuficha weakness zetu?
5. Msemo wa "LUCKY IS WHEN PREPARATION MEETS OPPORTUNITY" ni sahihi?
1. Kuna huu msemo/tabia ya kuamini kuwa One day yes(ipo siku ntafanikiwa tu)...je ipo kweli iyo one day.
2.Je bahati nzuri/mbaya ipo? na mtu anaweza kufanyaje ku attract either of them
3.Je kuna watu wamezaliwa na bahati njema(wana zali) na wengine wamezaliwa na bahati mbaya(wana gundu).
4.Je imani/hali ya watu kushindwa jambo na kusema 'mungu hakupenda' ni sahihi? au ni kuficha weakness zetu?
5. Msemo wa "LUCKY IS WHEN PREPARATION MEETS OPPORTUNITY" ni sahihi?