Striker0011
Member
- May 21, 2011
- 63
- 17
Mitandao ya simu ipo mingi tu, na kila kukicha utasikia mtandao umeanzisha bahati nasibu kwa mfano sasa airtel utasikia shinda gari aina ya IST au vodacom JAY milioni. lakini concern yangu ni kwamba je bahati nasibu hizi ni kwa ajili ya maskini tu au watu wenye kipato cha chini?
Nasema hivi kwa sababu ukiangalia matangazo ya watu wengi walioshinda wakitoa ushuhuda utasikia 'sijui mimi nilikuwa mkaanga mihogo or muuza genge' mfano mzuri ni hii ya Airtel na IST, wengi ni wa hali ya chini wanaotoa ushuhuda tuseme watu wa hali ya kawaida hawashiriki?
Nionavyo mimi hizi ni fix tu hakuna chochote kinachoshindaniwa lile au yale magari ni show tu ili wajiongezee kipato lakini hakuna hata moja linalotoka kwa watu rather yanabaki kuwa mali ya Airtel tu au waendesha bahati nasibu.
Mchezo mchafu kama mazingara tu.
Nasema hivi kwa sababu ukiangalia matangazo ya watu wengi walioshinda wakitoa ushuhuda utasikia 'sijui mimi nilikuwa mkaanga mihogo or muuza genge' mfano mzuri ni hii ya Airtel na IST, wengi ni wa hali ya chini wanaotoa ushuhuda tuseme watu wa hali ya kawaida hawashiriki?
Nionavyo mimi hizi ni fix tu hakuna chochote kinachoshindaniwa lile au yale magari ni show tu ili wajiongezee kipato lakini hakuna hata moja linalotoka kwa watu rather yanabaki kuwa mali ya Airtel tu au waendesha bahati nasibu.
Mchezo mchafu kama mazingara tu.