Bahatisha umri wa mwanaJF

Mie nachezea 40 kwenda mbele. [emoji85] [emoji85] [emoji85]

Weweeee nadhani 25 - 35 na nahisi nimekubahatisha kweli. Hahahaaa.
Hahaaa kumbe najidogodeshaga humu hadi umenikadiria kidogo hivo, mi mhenga hasa, nakaribia umri wa kustaafu huko[emoji87] [emoji87]
 
Hahahaaa. Kwa kuangalia maandishi na wengi watachemsha aisee sababu unaweza kuta mtu anaandika ya kikubwa ila ni mdogo. Na kuna wakubwa nao lakini wakiwa humu wanakuwa na akili kama watoto.

Hivyo tabu tupu na walio wengi ni ngumu kuwabahatisha.
wew 32
 
Hahahaaa. Kwa kuangalia maandishi na wengi watachemsha aisee sababu unaweza kuta mtu anaandika ya kikubwa ila ni mdogo. Na kuna wakubwa nao lakini wakiwa humu wanakuwa na akili kama watoto.

Hivyo tabu tupu na walio wengi ni ngumu kuwabahatisha.
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…