application
Member
- Jun 10, 2016
- 30
- 8
Habar wana jf nataka kufanya biashara ya vocha za jumla sijajua utaratibu wake na faida yake km nitapat mtyu kwenye ujuzi na hii biashara akanielekeza itakuwa safii kwan atakuwa kanisaidia sanaa najua hap ni kila kitu hakuna kinachoshindikan km tukihamua kushirikiana .Asante