Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Anaitwa Frank Darko ni mwanafunzi wa chuo kutoka nchini Ghana Ameweza kutengeneza baiskeli inayoelea juu ya maji.
Ni mwanachuo anayesomea maswala ya Graphic Design ndani ya Tarkoradi Technical University. Aliweza kudesign hii baiskeli ili kuwasaidia wanafunzi kuweza kuvuka maji eneo hilo.
Unampa maksi ngapi huyu mdogo wetu [emoji92]
Ni mwanachuo anayesomea maswala ya Graphic Design ndani ya Tarkoradi Technical University. Aliweza kudesign hii baiskeli ili kuwasaidia wanafunzi kuweza kuvuka maji eneo hilo.
Unampa maksi ngapi huyu mdogo wetu [emoji92]