Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Ili iweje sasaCalculate kwanza hapa
9X11+1-100/1(2+2-2)+5X4-0.11111111......1=?%
Iyo sio boat mkuu!Mimi nipo ZANZIBARA.
je ZANZIBAR inafika?
MarksIli iweje sasa
Hiyo inafaa maji yalyotuama.Iyo sio boat mkuu!
Mimi sio mwanafunziMarks
Kwanini Baiskeli inaitwa Baiskeli ?
Tena boda boda ndio rahisi sana sababu ina engine we ni kufunga maboya tu pembeni na kupiga kiki 😺!!!Atengeneze boda boda watu waende Zanzibar faster
Safi sanaTena boda boda ndio rahisi sana sababu ina engine we ni kufunga maboya tu pembeni na kupiga kiki 😺!!!
Kwenye tairi ya nyuma pale unafunga rim ndogo yenye mapanga badala ya tairi! Ukishapiga starter ikakubali wewe kufika zenji ni kitendo cha full tank moja tu😸 nusu saa upo zenji