Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KwaiyoHiyo sio bajaj ya kusema imetumika mwaka mmoja
Dar Kubwa DaIpo dar
Huo utumikaji wa mwaka mmoja ilikuwa inapanda majaruba huko dar? ukinibu tufanye biashara.Piaggio ace inauzwa
Imetumika mwaka mmoja
Haina tatizo lolote
Ina vibali vyote
Bei 4.5m
If Interested pm for more infoView attachment 940207View attachment 940212
Em tokaàHuo utumikaji wa mwaka mmoja ilikuwa inapanda majaruba huko dar? ukinibu tufanye biashara.
Huyo ni mchawi achana naye..tena hana hela..ni bora angesema umpunguzie bei..Em tokaà
nitolee nuksi kwenye biashara yangu
Acha kuharibu biashara za watu.Hiyo kampuni mbona feki.
Hauna tvs labda
Bajaj mpya ni 7m cash broohiyo bei mbona ya bajaj mpya?
Sasa heading unasema unauza Bajaji lakin ndani unaweka Piaggio, sio poaPiaggio ace inauzwa
Imetumika mwaka mmoja
Haina tatizo lolote
Ina vibali vyote
Bei 4.5m
If Interested pm for more infoView attachment 940207View attachment 940212
Ndo iwe na mchoko mbaya kiasi hicho kwa mwaka mmoja.Acha kuharibu biashara za watu.
Unaweza ukathibitisha ufake wa kampuni ya piaggio bajaj zinazosifika kwa uimara,zinadumu na uwezo mkubwa wa kustahimili mikiki yoyote
Umerogwa weweNdo iwe na mchoko mbaya kiasi hicho kwa mwaka mmoja.
Ngoja tu nikutukane kimoyomoyo kuepusha banSasa heading unasema unauza Bajaji lakin ndani unaweka Piaggio, sio poa
Mi Nimekutukana Bonge la Tusi tena Kubwa tuNgoja tu nikutukane kimoyomoyo kuepusha ban
Wewe ndie unasumbua na njaa hapa guta bovu si peleka chanika,naona biashara yako hailipi unahamia udalali sasa,msimu wa huyu Mzee kila langi itaonekana pole sana.Umerogwa wewe
Unaujua muonekano mbaya au unaleta njaa za ukoo wako kwenye uzi wangu
Koma kabisa