Sultan Zuwera
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 246
- 336
Bei gani boss!?Iko katika hali nzuri ni ya January 2021.
Ina vitu na nyaraka muhimu kama ifuatavyo:
1. Bima hadi Feb 23
2. Latra hadi Jun 23
3. Mapato TRA hadi Dec 22
4. Imefungwa GPS
5. Imejengewa vizuri sehemu ya kukaa abiria
6. Ina sight mirror za gari
7. Ina ngao madhubuti kwa nyuma
8. Seat Cover zote zimeshonwa kwa Plastic maalum.
Ipo Kitunda Relini Dar es Salaam. Kwa mawasiliano 0783237333.View attachment 2351370View attachment 2351371View attachment 2351372
Tuwasiliane kwa namba nilitoa.Weka bei yake
Tuwasiliane kwa namba nilizoziandika.Bei gani boss!?
Weka namba unayopatikan whatsap basiTuwasiliane kwa namba nilizoziandika.
0716148888Weka namba unayopatikan whatsap basi
Mkuu yaani umeweka marlezo yote hayo halafu bei eti hadi nikupigie? Hivi nipeni siri ya hii mbinu ni nini?Tuwasiliane kwa namba nilitoa.
Kama una WhatsApp tuwasiliane kwa namba 0716148888. KaribuMkuu yaani umeweka marlezo yote hayo halafu bei eti hadi nikupigie? Hivi nipeni siri ya hii mbinu ni nini?
Kwamba Unatoa taarifa zote lakini bei hadi tukupogie kuna ugumu gani kuweka bei?
Weka bei hapa kujipunguzia usumbufu Ili wakupigie watu walio serious tuu. Wabaki wenye uhitaji wakupigie kuomba punguzo. Biashara nyingine huwa mnajichelewesha wenyewe, bei za Bajaj zinajulikana kwani ukisema milioni 6,7 au 8 unapungukiwa nini?, Kama bei yako Iko juu unatoa na sababu kwamba ulifunga GPS, bajaji ilikuwa imepack imetembea km chache n.k, Sasa hayo yote mpaka uyaelezee kwenye simu si utachoka sana na simu kibao!?.. Watanzania kwenye marketing bado saaana.Kama una WhatsApp tuwasiliane kwa namba 0716148888. Karibu
Khaaaaaaaaaaaaa mbona anabadilika badilika?! [emoji23][emoji23][emoji23] Me kanianzia 7.5 kanambia 6.5 tufanye biashara. Asieee utapeli kazi sana.Fanya millioni 8 hio kumi unayodai nyingi sana
Kubali tu, hauko serious na biashara.Kama una WhatsApp tuwasiliane kwa namba 0716148888. Karibu