Elections 2010 Bajaji 400

LoyalTzCitizen

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
2,241
Reaction score
940
Jamani wakuu wote wa JF naomba sana kama kuna yeyote anayejua kuhusu hii ya Muheshimiwa JK kuahidi Bajaji 400 za kubebea waja wazito kwenda kujifungua! Hii kali ya mwaka!!
 
Jamani wakuu wote wa JF naomba sana kama kuna yeyote anayejua kuhusu hii ya Muheshimiwa JK kuahidi Bajaji 400 za kubebea waja wazito kwenda kujifungua! Hii kali ya mwaka!!

Mkulu LTC,

Hii nchi inaongozwa na vilaza - Kikwete, Makamba na Kingunge
 
Hata mtoto huyu amefurahia kabisa kazi nzuri ya Shehe Yahaya:

 
Hawa wastaafu wa Afrika mashariki wanashangilia kazi nzuri inayofanywa na "mstaafu" mwenzao kingunge:

 
Huyu mama amelala chini kwa furaha baada ya kupewa "zawadi" na polisi wa Kikwete:

 
Huyu mama hakuweza kujizuia kwa furaha aliyokuwa nayo baada ya kuona video ya "bumbuli hoyee" toka kwa January Makamba:



Ilibidi askari wa "January oyee, Kikwete oyee, Kingunge oyeee, makamba oyeee" watumike kusaidia ili furaha yake isipite kipimo.
 


Hata Mwenyekiti anajua kuwa huduma za afya zimedumazwa na sera zao!
 


A Tanzanian expectant mother lays on the floor as she and others pack a maternity ward while waiting to deliver their babies at the Temeke hospital in Dar-es-Salaam. Maisha bora kwa Kila Mtanzania.
 


A Tanzanian expectant mother lays on the floor as she and others pack a maternity ward while waiting to deliver their babies at the Temeke hospital in Dar-es-Salaam. Maisha bora kwa Kila Mtanzania.

hawa inabidi waletewe burudani toka kwa Marlaw na wenzake ili 'wapate nafuu' mapema
 
Bajaj 400X TZS 5,000,000=TZS 2,000,000,000< CCM campaign fund of TZS 50,000,000,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…