Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Kwa kuwa latra wameshindwa kusimamia bajaji na bodaboda japo wanawapa leseni, kuna uhumuhimu wa kuwa na chombo cha kudimamia hawa vijana maana wasipo simamiwa na janga la taifa.
Bajaji na bodaboda wanafanya kazi nzuri sana hasa maeneo ambayo mabasi na usafiri mwingine haufiki. Pia wanafanya kazi 24 hours.
Tatizo ni kwamba hawana ruti na ssa hivi hawana utaratibu. Badala ya kukaa kwenye vijiwe vyao kama zamani sasa hivi wanajazana kwenye zebra crossing kuvizia abiria hadi inakuwa kero kwa wapita kwa miguu na vyombo vingine.
Kama wameruhusiwe kufanya kazi kama public transport wapewe TLB kama daladala na kila bajaji iwe na ruti yake ili wawe na mipaka.
Bajaji na bodaboda zinakwenda kuua BRT pamoja na daladala, kitu ambacho kitaleta kero kwenye baadhi ya miji mikubwa.
Bajaji na bodaboda zinataliwa zibaki kwenye maeneo ambayo hakuna TLB ya latra na pia kwa kukodishwa na siyo inavyo fanyika sasa.
Chombo kipya cha kusimamia bajaji na bodaboda kitasaidia sana kulinda ajira za hawa vijana lakini pia kwa ustawi wa miji yetu ambayo serikali inawekeza ili kuifanya iwe morden na yenye usalama zaidi.
Bajaji na bodaboda wanafanya kazi nzuri sana hasa maeneo ambayo mabasi na usafiri mwingine haufiki. Pia wanafanya kazi 24 hours.
Tatizo ni kwamba hawana ruti na ssa hivi hawana utaratibu. Badala ya kukaa kwenye vijiwe vyao kama zamani sasa hivi wanajazana kwenye zebra crossing kuvizia abiria hadi inakuwa kero kwa wapita kwa miguu na vyombo vingine.
Kama wameruhusiwe kufanya kazi kama public transport wapewe TLB kama daladala na kila bajaji iwe na ruti yake ili wawe na mipaka.
Bajaji na bodaboda zinakwenda kuua BRT pamoja na daladala, kitu ambacho kitaleta kero kwenye baadhi ya miji mikubwa.
Bajaji na bodaboda zinataliwa zibaki kwenye maeneo ambayo hakuna TLB ya latra na pia kwa kukodishwa na siyo inavyo fanyika sasa.
Chombo kipya cha kusimamia bajaji na bodaboda kitasaidia sana kulinda ajira za hawa vijana lakini pia kwa ustawi wa miji yetu ambayo serikali inawekeza ili kuifanya iwe morden na yenye usalama zaidi.