Bajaji inauzwa

yathriba

Member
Joined
Feb 7, 2011
Posts
35
Reaction score
6
habari zenu wapendwa,kuna bajaji yangu nauza aina ya TVZ king,ipo katika hali nzuri sababu ya kuuza ni kwamba mm nipo masomoni nje ya nchi kijana wangu (dreva wangu ananizungusha haleti hesabu kama tulivokubaliana kwa hio nimeamua bora niuze kuliko kuja kukosa yote.kwa maelezo zaidi just send text on this no. 0773496161.
 
<br />
<br />
Uko wapi na unaiuza bei gani?
 


Ingekuwa bajaji kama hii pichani ningeichangamkia maana ina kila dalili ya kuniongezea kipato.
 
bei maelewano baada ya kuiona,unaweza kunitext kwenye hio no. hapo juu ile tufanye utaratibu wa kuiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…