Karibu boss uikague mkuuSio Ugonjwa Moyo huo Mkuu..?
Haina deni wala haidaiwi bossFull vibali unamaanisha nini
Nauza bajaji bossUnauza Bajaji au Injini. ?
Mazungumzo yapo boss hatuwez kushindwanaHiyo bei [emoji114]
Ishu sio namba boss, tuanangalia hal ya chombo boss, njoo na fundi ikagueNamba A bei yote hyo....?
Mwambie aende Singida aone namba C zinavyouzwa milioni 3 tu[emoji1][emoji38]Namba A bei yote hyo....?
Namba n inshu kk. Namba A ukinunua lazima ufanye Overhaul.Ishu sio namba boss, tuanangalia hal ya chombo boss, njoo na fundi ikague