Bajaji kwenye miinuko ina uwezo wa kuhimili ikiwa inatumika kusafirisha abiria?

Bajaji kwenye miinuko ina uwezo wa kuhimili ikiwa inatumika kusafirisha abiria?

Uchira 1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
5,994
Reaction score
8,696
Wakuu hali gani?

Naingia kwenye mada tajwa moja kwa moja napenda kupata usaidizi wa kitaalamu hasa katika biashara ya bajaji.

Nimeona fursa mahala ila kuna miinuko kama ile ya Mbezi ya Kimara na ka ile unaelekea Kisarawe. Sasa napenda kufahamu bajaji katika miinuko ka hiyo inauwezo wa kuhimili ikiwa inatumika kusafirisha abiria?

Na ka jibu ni ndiyo inaweza kuwa na maisha marefu ka ikitembea katika barabara za kawaida zenye tambarare na miinuko ya kati?

Natanguliza shukrani
 
Dereva wako asiwe waru waru tu (awe anakibembeleza chombo)

Service za mara kwa mara
 
Kwa milima ya huku mbezi naona zikipita tu, makabe,goba,malamba,tegeta A kote huko ni milima lakin bajaji zinapita
uwezo wa kuishi ni ka miaka mingapi zkiwa zinapiga kazi katika mazingira hayo ikiwa service ni standard pia uendeshaji wake ni mzuri?
 
uwezo wa kuingi ni ka miaka mingapi zkiwa zinapiga kazi katika mazingira hayo ikiwa service ni standard pia uendeshaji wake ni mzuri?
Hapo sijui kiongozi,,,kwasababu mida ya jion kijiwe nachopenda kukaa huwa pana madereva basi unikumbushe niwaulize hilo swali
 
Hapo sijui kiongozi,,,kwasababu mida ya jion kijiwe nachopenda kukaa huwa pana madereva basi unikumbushe niwaulize hilo swali

.. ukiipata mpya na ikawa inatunzwa vizuri yaenda mpaka miaka 4 kiongozi
 
.. ukiipata mpya na ikawa inatunzwa vizuri yaenda mpaka miaka 4 kiongozi
ahaa kumbe si mbaya maana mie nilikuwa naogopa isije kufa ndani ya mwaka maana nahisi ha hela itakuwa haijarudi
 
Wakuu hali gani?

Naingia kwenye mada tajwa moja kwa moja napenda kupata usaidizi wa kitaalamu hasa katika biashara ya bajaji.

Nimeona fursa mahala ila kuna miinuko kama ile ya Mbezi ya Kimara na ka ile unaelekea Kisarawe. Sasa napenda kufahamu bajaji katika miinuko ka hiyo inauwezo wa kuhimili ikiwa inatumika kusafirisha abiria?

Na ka jibu ni ndiyo inaweza kuwa na maisha marefu ka ikitembea katika barabara za kawaida zenye tambarare na miinuko ya kati?

Natanguliza shukrani
Hapa MBEYA ukija uone bajaj zinavyosomba abiria ndugu zangu wasafwa kutoka Isanga kwenda Kawetere Mali asili daily utajua hapo kimara hakuna milima
 
ya aina gani kama tvs usiwe na shaka nilikuwa naendesha tvs ya 2015 kile chombo waindi wamejitahd nilipakia watu wanne nyuma na dereva pale niko na abiria wa wili huku na huku jumla saba na viroba vya mahindi from kijiji flan bhna chombo iko no moja yake ni hatari ilikuwa ni mlima mkubwa ambao gia zngne hazikubal zaid ya moja tena kuna sehem nilikosea nikaweka gia no mbil ikakataa nkajikuta imesimama lkn moja ilivokubal ingia nkaondoka mliman na watu saba kifupi tvs inaenda barabara na miinuko yoyote gari ya kawaida inaenda
 
ya aina gani kama tvs usiwe na shaka nilikuwa naendesha tvs ya 2015 kile chombo waindi wamejitahd nilipakia watu wanne nyuma na dereva pale niko na abiria wa wili huku na huku jumla saba na viroba vya mahindi from kijiji flan bhna chombo iko no moja yake ni hatari ilikuwa ni mlima mkubwa ambao gia zngne hazikubal zaid ya moja tena kuna sehem nilikosea nikaweka gia no mbil ikakataa nkajikuta imesimama lkn moja ilivokubal ingia nkaondoka mliman na watu saba kifupi tvs inaenda barabara na miinuko yoyote gari ya kawaida inaenda
nashukuru mkuu uliweza kudumu nayo kwa muda gani?
 
uwezo wa kuishi ni ka miaka mingapi zkiwa zinapiga kazi katika mazingira hayo ikiwa service ni standard pia uendeshaji wake ni mzuri?
Service kama milima sana Piga kila wiki!. Life span itakuwa kuanzia miezi 36 kuendelea!
Service kila baada ya wiki 2 , Lifespan yake ni miezi 24 kuendelea!.
Uendeshaji na Utunzaji ndio nguzo kuu!
Ukihitaji kuongeza TVS nyingine nitafute!🙂
 
shukrani kwa wote mlonipa michango yenu nimeifanyia kazi na mambo yameenda vyema baada ya kuongezea na kwa wapiga spana na waendeshaji
 
Back
Top Bottom