Bajaji ya mkopo benki: Ukipata ajali mkopo unaendelea au unasimama?

Bajaji ya mkopo benki: Ukipata ajali mkopo unaendelea au unasimama?

Kuna mdogo wangu amepata ajali ya bajaj, sasa bajaji hiyo ni ya mkopo kutoka NMB

Je kipindi hiki bajaj yake inatengenezwa mkataba unasimama au unaendelea anaejua

Tumsaidie

Benki haina hii, deni linaendelea kusoma.. Na hii ni tofauti kama ungekopa kwa ndugu Michael, sasa hivi ungekuwa ushamlilia na mngefanya namna kirafiki
 
Naona Secret ID kaja kivingine.

Kwanini hukukata bima kwa hao hao NMB maana na wao ni Mawakala

Mkataba wenu wasemaje?

NB: Ukichukua gari kwa MO kwa mfumo wa Lease, Operate, Own lazima ukate bima kubwa kwake kulingana na thamani ya gari husika.

Ikitokea ajali atalichukua na kulitengeneza yeye, kama halifai atakupa jingine
 
Naona Secret ID kaja kivingine.

Kwanini hukukata bima kwa hao hao NMB maana na wao ni Mawakala

Mkataba wenu wasemaje?

NB: Ukichukua gari kwa MO kwa mfumo wa Lease, Operate, Own lazima ukate bima kubwa kwake kulingana na thamani ya gari husika.
Ikitokea ajali atalichukua na kulitengeneza yeye, kama halifai atakupa jingine
Kanjibahi anakopesha magari?
 
Naona Secret ID kaja kivingine.

Kwanini hukukata bima kwa hao hao NMB maana na wao ni Mawakala

Mkataba wenu wasemaje?

NB: Ukichukua gari kwa MO kwa mfumo wa Lease, Operate, Own lazima ukate bima kubwa kwake kulingana na thamani ya gari husika.

Ikitokea ajali atalichukua na kulitengeneza yeye, kama halifai atakupa jingine
@HIMARS kwani tuna ugomvi mkuuu [emoji23]
Mimi sina Multiple ID
 
Benki sio wajinga, wanakupa mkopo wa bajaji na wanaikatia bima kabisa tena ile kubwa kabisa. Kama ilivyo kwa Dewji tu.
 
Kwa upande wangu nimekata alliance insuarence.
Kupitia maendeleo bank insuarence ageny
Bajaj nimechukua maendeleo bank.

Msaada hapo
Hasa marejesho mkuu
Mkopo hausimami, unaedelea.

Kama wakala wako ni benki iliyokukopesha, waambie wafanya upesi ili uweze rudi barabarani.


Kwa NMB wao hutoa bima wenyewe, bajaj ikiharibika sana wanahakikisha wanalipwa pesa zote za bajaj mpya afu mnakaa mezani upya kuona kama waendelea au wakurudishie pesa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkopo hausimami, unaedelea.

Kama wakala wako ni benki iliyokukopesha, waambie wafanya upesi ili uweze rudi barabarani.


Kwa NMB wao hutoa bima wenyewe, bajaj ikiharibika sana wanahakikisha wanalipwa pesa zote za bajaj mpya afu mnakaa mezani upya kuona kama waendelea au wakurudishie pesa

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Anhaa ahsante sana.
Kwaiyo kama ntatumia miezi miwili katika matengenezo ina maana nikirudi barabarani nakuwa na hilo deni au ??

Au ikipona mkataba ndio umenishinda tayari??
 
Anhaa ahsante sana.
Kwaiyo kama ntatumia miezi miwili katika matengenezo ina maana nikirudi barabarani nakuwa na hilo deni au ??

Au ikipona mkataba ndio umenishinda tayari??
Bado deni litaendelea kuwepo, muhimu wajulishe kuwa imepata ajali, wapelekee zile copy za fomu za polisi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Bado deni litaendelea kuwepo, muhimu wajulishe kuwa imepata ajali, wapelekee zile copy za fomu za polisi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sawa sasa kaka sijakuelewa jambo

Je bajaj itakapo pona, utapewa uendleee na kazi ili uweze kulipa deni lao, au mkataba ndio utakuwa umekushinda?

Nikiwa na maana baaada ya bajaj kupona wanakuja kuichukua?
 
Back
Top Bottom