Ivi alidesign hii PAY AS YOU EARN atakuwa mwehu,hela wanazokatwa wafanyakazi ni nyingi mno hasa wanaoern zaidi ya laki tano kama sikosei unakuta mtu analambwa ela ya kutosha.
Ukiludi mtaani hospital walipia,hao trafic na police mwenod wa rushwa,shule mtoto bila tuisheni ndo basi.
Sikatai fungu kubwa wanalokata ila matumizi yake basi yacreate unafuu wa maisha kwa wanaokatwa