Bajeti 2024/2025 serikali itoe ajira rasmi kwa wafanyakazi wa JKCI-Dar Group

Bajeti 2024/2025 serikali itoe ajira rasmi kwa wafanyakazi wa JKCI-Dar Group

Daktareee

Member
Joined
Feb 1, 2022
Posts
20
Reaction score
10
Ni muda sasa umepita tokea serikali kurudisha umiliki wa hospital ya Dar group na kuwa chini ya Jkci ingawa awali ilitegemewa baada ya serikali kuchukua rasimali zote za hospital hiyo ikiwemo majengo ,vifaa tiba na fedha ktk account ilitarajiwa kutoa ajira rasmi kwa rasilimali watu (watumishi wote wenye vigezo ) , japo hali imekua tofauti na danadana zimekua nyingi bila wafanyakazi kujua hatma kamili ni ipi na kushusha morali ya kazi pia imedumaza hali ya maisha tofaut na matarajio ya awali

Kiuhalisia Ucheleweshaji wa ajira rasmi unawanyima watumishi hao stahiki zao kama sheria na miongozo ya kazi/serikali inavosema mfano malipo ya shift za usiku ,overtime ,weekends na public holidays
Kama mchakato wa uhakiki watuishi umeshafanyika na team ya utumishi iliyoenda Jkci kuhakiki sasa ni muda muafaka kwa serikali kwa mwaka huu wa fedha wa 23/24 unaonza july uanze pia ajira rasmi kwa watumishi hao wapate cheki namba na stahiki zingine….
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ,utumishi Wizara ya Afya Tanzania CHADEMA ccm ACT Wazalendo Samia gang
 
Hakuna kitu kibaya kama muda wa kusubiri hatima ya kazi au maisha yako maana hutafanya cha maana mawazo yote yako kwenye hatima ya maisha yako na ndio maana magonjwa ya afya ya akili na yasiyoambukiza yanapoongezeka
 
Hakuna kitu kibaya kama muda wa kusubiri hatima ya kazi au maisha yako maana hutafanya cha maana mawazo yote yako kwenye hatima ya maisha yako na ndio maana magonjwa ya afya ya akili na yasiyoambukiza yanapoongezeka
Wameshasubiri kwa muda mrefu na wamekua wakipewa ahad hewa hawajui hatma yao na hawapati stahiki zao kama inavotakiwa kwa kisingizio kuwa hospital inajiendesha bila msaada wa serikali. Na dalili zilizopo ni kuwa hata bajeti hii hamna dalili za watu kupata ajira, watende haki watu wapate ajira rasmi kama walivochukua majengo ,vitendea kazi na pesa walizokuta
 
Hapo sasa huduma za kipuuzi zitaanza!
Update: Imagine taasisi moja ila malipo ya night call na overtime tofaut sababu hizo cheki namba ,yaan mnafanya kazi idara moja muda sawa (night na overtime) ila mwenzio analipwa mara 2 zaid ako kusungizio cheki namba , pili kama mmechukua hospital na kila na mnawaamisha ni watumishi wa umma ktk kufata sheria na taratibu za kazi lakin linapokuja suala la malipo ya overtime na night mnachora mstari mara ooh cheki mbona hamfati utaratibu na muongozo wa malipo kama wao ni watumishi wa umma.Halafu pia watu wana ajira za mikataba HQ lakin wanalipwa kufuata miongozo isipokua tu Jkci-Dar group
 
Update: Imagine taasisi moja ila malipo ya night call na overtime tofaut sababu hizo cheki namba ,yaan mnafanya kazi idara moja muda sawa (night na overtime) ila mwenzio analipwa mara 2 zaid ako kusungizio cheki namba , pili kama mmechukua hospital na kila na mnawaamisha ni watumishi wa umma ktk kufata sheria na taratibu za kazi lakin linapokuja suala la malipo ya overtime na night mnachora mstari mara ooh cheki mbona hamfati utaratibu na muongozo wa malipo kama wao ni watumishi wa umma.Halafu pia watu wana ajira za mikataba HQ lakin wanalipwa kufuata miongozo isipokua tu Jkci-Dar group
Mifumo ya nchi yetu ni shida tupu,viongozi wetu wanajua kila kitu ila sababu ya maslahi yao binafsi na unyonyaji hawawezi kusimamia ukweli na kuleta usawa katika maslahi ya wafanyakazi!
 
Back
Top Bottom