Bajeti Afrika Mashariki: Uganda waondoa VAT kwenye Utalii

Sekta ya utalii actually imekua, pamoja na kuwekwa kwa kodi ya VAT. I was shocked.
Tanzania sasaivi ni namba moja East Africa both in tourist arrivals na pesa zinazoingia nchini.
Nashauri serikali isiondoe hiyo kodi ibaki hapohapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…