dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Nimeamini kenya Ni taifa kubwa kwa nyanja zote za siasa na uchumi na mamb ya kijamii kwa kuitazmaa bajeti yake tu Ni Mara mbili ya bajeti ya Tanzania ya trillion 46
Taifa Lina ekeza kwenye mamb ya .msingi sna hakna blaa blahaa Kama huku kwetu serkali inasamehe Kodi kwa vitu vya kipuuz na anasa ati iruhusu vifaa vya mabeberu viingie nnchini bila kulipia Kodi alfu mm nisiyempenda mpira , nakuja kutozwa matozo na makodi ya kila Aina huku mmeacha pesa mimngi imepoteaa kwa uzembe na ujinga wa viongozi wajinga wachache walio na dhamana
Kwa kuwa waziri amependekeza tu na halijapita Basi nawasii wabunge wetu wasikubali hicho kipengele kbsaa Kodi zilipwe zote stahiki wanao taka var walazimike kuingia mvukoni mwao San tupate huduma za msingi
Taifa Lina ekeza kwenye mamb ya .msingi sna hakna blaa blahaa Kama huku kwetu serkali inasamehe Kodi kwa vitu vya kipuuz na anasa ati iruhusu vifaa vya mabeberu viingie nnchini bila kulipia Kodi alfu mm nisiyempenda mpira , nakuja kutozwa matozo na makodi ya kila Aina huku mmeacha pesa mimngi imepoteaa kwa uzembe na ujinga wa viongozi wajinga wachache walio na dhamana
Kwa kuwa waziri amependekeza tu na halijapita Basi nawasii wabunge wetu wasikubali hicho kipengele kbsaa Kodi zilipwe zote stahiki wanao taka var walazimike kuingia mvukoni mwao San tupate huduma za msingi