Bajeti ya kishindo cha awamu ya tano katika sekta ya afya kusomwa Jumatano 29.04.2020

Bajeti ya kishindo cha awamu ya tano katika sekta ya afya kusomwa Jumatano 29.04.2020

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Katika ratiba ya vikao vya Bunge tarehe 29.4.2020 Waziri Ummy Mwalimu atawasilisha BAJETI ya kufunga Awamu ya Tano.

Bajeti hii ya Sekta ya Afya itakuwa ya kihistoria kwa kuwa inasomwa wakati Tanzania na Dunia inapitia ktk majaribu makubwa katika kipindi Cha zaidi ya miaka Mia moja!

Bila Shaka kesho tutaona umahiri wa Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ktk kupinga hoja za Wapinzani ambao wanatumia mitandao ya kijamii kuipa mwongozo Serikali kuhusu kagonjwa ka Korona!

Bila Shaka kesho itawainua baadhii ya Wabunge na kuwatengenezea wengine anguko...kesho sio mbali!Tusubiri !
 
Katika ratiba ya vikao vya Bunge tarehe 29.4.2020 atawasilisha BAJETI ya kufunga Awamu ya Tano.
Bila Shaka kesho tutaona umahiri wa Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ktk kupinga hoja za Wapinzani ambao wanatumia mitandao ya kijamii kuipa mwongozo Serikali kuhusu kagonjwa ka Korona!
Bila Shaka kesho itawainua baadhii ya Wabunge na kuwatengenezea wengine anguko...kesho sio mbali!
ngoja tusubiri.kwanini tuandikie wino wakati mafuta ya mgando yapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika ratiba ya vikao vya Bunge tarehe 29.4.2020 Waziri Ummy Mwalimu atawasilisha BAJETI ya kufunga Awamu ya Tano.

Bajeti hii ya Sekta ya Afya itakuwa ya kihistoria kwa kuwa inasomwa wakati Tanzania na Dunia inapitia ktk majaribu makubwa katika kipindi Cha zaidi ya miaka Mia moja!

Bila Shaka kesho tutaona umahiri wa Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi ktk kupinga hoja za Wapinzani ambao wanatumia mitandao ya kijamii kuipa mwongozo Serikali kuhusu kagonjwa ka Korona!

Bila Shaka kesho itawainua baadhii ya Wabunge na kuwatengenezea wengine anguko...kesho sio mbali!Tusubiri !
Ni jambo jema........ Ngoja tusubiri!
 
Mbona itapita tu. Ni kuwapanga wachangiaji utasikia tumejenga zahanati, vituo vya afya, tumeajiri...meza pa pa pa, waliosema ndiyo wameshinda.
 
Mkuu naomba kuuliza, hivi IQ inapimwa maabara?? Mimi naona kama hii post yako imekuwa kipimo cha IQ yako!! Pesa ya kuzalisha barakoa 1500 tsh tu huna, pesa ya kununua ventilator 56m tsh huna. Kishindo kitatoka wapi?

Labda kama ni kishindo cha kusema uwongo na huficha takwimu za 19!!
 
Mkuu naomba kuuliza, hivi IQ inapimwa maabara?? Mimi naona kama hii post yako imekuwa kipimo cha IQ yako!! Pesa ya kuzalisha barakoa 1500 tsh tu huna, pesa ya kununua ventilator 56m tsh huna. Kishindo kitatoka wapi?

Labda kama ni kishindo cha kusema uwongo na huficha takwimu za 19!!
Really,hata kuelewa chemistry ya post nayo Ni kipimo Cha IQ, hata Mimi nimekufahamu kiongozi
 
Back
Top Bottom