Bajeti ya Kukamilisha jiko

Bajeti ya Kukamilisha jiko

1. Jiko la Mtungi wa Gesi Mdogo (60k)
2. Sufuria za bei ndogo nne (50k)
3. Vyombo vya plastic cheap (20k)
4. Vijiko, mwiko, kisu, etc (10k)
5. Vyakula vya kupikwa mfn unga, mchele, etc andaa (30k)

Jumla kuu: 170,000 kwa kua bei ni makadirio inaweza kuongezea au kupungua 20%

Kwahiyo range: 130k hadi 200k hivi.
 
Kwakua haujawahi kupika. Ngoja nikupe tips:
1. Anza kununua vitu cheapest kwanza uone kama utaweza. Usiamze na mbwembwe za kununua jiko la oven, plate 4, au mtungi mkubwa.

2. Achana na appliances za umeme kama microwave, rice cooker, pressure cooker, brenda etc hivyo utanunua ukiona kupika iko damuni.
By experience niliamua kama ww nikanunua pressure cooker, rice cooker, Sufuria non-stick etc nimevipark nakula kwa mama ntilie.
Ukitaka kununua kabisa electric appliances basi rice cooker instosha kabisa. Inapika hadi ugali.

3. Lengo la mtoto wa kiume kujipikia ni either kusave hela (gharama) au kula vizuri na salama. Kwahiyo akikisha unapika vyakula ambavyo ngumu kuvipata kiurahisi usije anza tena kupika chips.

4. Usinunue unga robo, mchele robo.. Nunua atleast kilo 2 kwenda mbele. Utasave zaidi. Mafuta usinunue ya kupima, ishi na atleast lita 1. Pia nunua makontena ya kuwekea vitu kama unga, mchele, sukari usiache kwenye mfuko utaharibika.

5. Hauhitaji vyombo vingi. Vijiko viwili tu, vikombe viwili, sahani 2, bakuri 2 etc tosha kabisa. Haulishi taasisi.

Na Mwisho kabisa:

UKIPIKA, UKIMALIZA TU KULA OSHA VYOMBO. USISEME NGOJA NIPUMZIKE KIDOGO. USIJARIBU. KAMA HAUWEZI HII BASI KUPIKA WEWE BADO.
 
Kwakua haujawahi kupika. Ngoja nikupe tips:
1. Anza kununua vitu cheapest kwanza uone kama utaweza. Usiamze na mbwembwe za kununua jiko la oven, plate 4, au mtungi mkubwa.

2. Achana na appliances za umeme kama microwave, rice cooker, pressure cooker, brenda etc hivyo utanunua ukiona kupika iko damuni.
By experience niliamua kama ww nikanunua pressure cooker, rice cooker, Sufuria non-stick etc nimevipark nakula kwa mama ntilie.
Ukitaka kununua kabisa electric appliances basi rice cooker instosha kabisa. Inapika hadi ugali.

3. Lengo la mtoto wa kiume kujipikia ni either kusave hela (gharama) au kula vizuri na salama. Kwahiyo akikisha unapika vyakula ambavyo ngumu kuvipata kiurahisi usije anza tena kupika chips.

4. Usinunue unga robo, mchele robo.. Nunua atleast kilo 2 kwenda mbele. Utasave zaidi. Mafuta usinunue ya kupima, ishi na atleast lita 1. Pia nunua makontena ya kuwekea vitu kama unga, mchele, sukari usiache kwenye mfuko utaharibika.

5. Hauhitaji vyombo vingi. Vijiko viwili tu, vikombe viwili, sahani 2, bakuri 2 etc tosha kabisa. Haulishi taasisi.

Na Mwisho kabisa:

UKIPIKA, UKIMALIZA TU KULA OSHA VYOMBO. USISEME NGOJA NIPUMZIKE KIDOGO. USIJARIBU. KAMA HAUWEZI HII BASI KUPIKA WEWE BADO.
Umemwaga nondo sana mkuu.Shukrani sana mkuu.

Ila bajeti yangu nilikuwa nimetenga kama 1.5 nikitegemea na hizo electric appliances kama fridge n.k,kumbe hazina umuhimu..kumbe kwa 200k tu naweza anza mambo..una lipi kwenye hili?
 
Umemwaga nondo sana mkuu.Shukrani sana mkuu.

Ila bajeti yangu nilikuwa nimetenga kama 1.5 nikitegemea na hizo electric appliances kama fridge n.k,kumbe hazina umuhimu..kumbe kwa 200k tu naweza anza mambo..una lipi kwenye hili?
Unajua challenge inakuja, unanunua friji hafu after week 2 za kupika unagundua kipika sio issue zako kabisa.

Mimi nina Hisense friji hapa, kubwa naliangaliaga tu. Hafu chukulia na maji ya baridi situmii kwahiyo uwa naliwasha tu kama 1 hr kisha nalizima, kila baada ya muda fulani.
 
Umemwaga nondo sana mkuu.Shukrani sana mkuu.

Ila bajeti yangu nilikuwa nimetenga kama 1.5 nikitegemea na hizo electric appliances kama fridge n.k,kumbe hazina umuhimu..kumbe kwa 200k tu naweza anza mambo..una lipi kwenye hili?
Unaweza nunua vyote ivo:

1. Friji ukatenga 500 - 600k
2. Appliances: Rice cooker 120k, Jiko la Plate: 120, Non stick pots: 150, vyombo vingine 150 etc.

Karibia Mil 1.2 hiyo + material ya kupika inafika 1.5

Sasa ukikuta chini ya mwezi mzuka wa kupika umeisha, hasara kubwa sana hiyo.

Ndio maana nashauri anza na budget ndogo, ukiona mzuka upo bado, anza kuexpand mdogo mdogo.

Appliances hakikisha unanunua high quality, na nunua as if haununui tena ndani ya miaka 5 ijayo.

Usinunue friji dogo leo. Ukisema eti nikiwa na familia nitanunua kubwa lake. Hatuendi ivo
 
Unaweza nunua vyote ivo:

1. Friji ukatenga 500 - 600k
2. Appliances: Rice cooker 120k, Jiko la Plate: 120, Non stick pots: 150, vyombo vingine 150 etc.

Karibia Mil 1.2 hiyo + material ya kupika inafika 1.5

Sasa ukikuta chini ya mwezi mzuka wa kupika umeisha, hasara kubwa sana hiyo.

Ndio maana nashauri anza na budget ndogo, ukiona mzuka upo bado, anza kuexpand mdogo mdogo.

Appliances hakikisha unanunua high quality, na nunua as if haununui tena ndani ya miaka 5 ijayo.

Usinunue friji dogo leo. Ukisema eti nikiwa na familia nitanunua kubwa lake. Hatuendi ivo
Nadhani nifuate huu ushauri wako,nitumie 200k kuanza na hivi vidogo hela inayobaki ni bora niweke nguvu sebuleni niwe na sebule kali ya kupumzika nikicheki EPL na kusikiliza muziki.
 
Wakuu nataka kuanza kupika mwenyewe sasa nikiangalia sina kitu hata kimoja jikoni.
Nataka niwe na jiko la kawaida tu.

Naombeni wenye majiko mnipe essentials zote na gharama zake roughly..
Or
Unaweza nunua vyote ivo:

1. Friji ukatenga 500 - 600k
2. Appliances: Rice cooker 120k, Jiko la Plate: 120, Non stick pots: 150, vyombo vingine 150 etc.

Karibia Mil 1.2 hiyo + material ya kupika inafika 1.5

Sasa ukikuta chini ya mwezi mzuka wa kupika umeisha, hasara kubwa sana hiyo.

Ndio maana nashauri anza na budget ndogo, ukiona mzuka upo bado, anza kuexpand mdogo mdogo.

Appliances hakikisha unanunua high quality, na nunua as if haununui tena ndani ya miaka 5 ijayo.

Usinunue friji dogo leo. Ukisema eti nikiwa na familia nitanunua kubwa lake. Hatuendi ivo
Vizuri sana,usinunue kitu UKISEMA nitakapokua hivi nitanunua kingine,

Bora utumie gharama kununua kitu kizuri na imara
 
Nadhani nifuate huu ushauri wako,nitumie 200k kuanza na hivi vidogo hela inayobaki ni bora niweke nguvu sebuleni niwe na sebule kali ya kupumzika nikicheki EPL na kusikiliza muziki.
Hapo umetisha. TV + Muziki + Carpet + Showcase + Kochi ata moja la seat 3.. Umeua.
 
Unaweza nunua vyote ivo:

1. Friji ukatenga 500 - 600k
2. Appliances: Rice cooker 120k, Jiko la Plate: 120, Non stick pots: 150, vyombo vingine 150 etc.

Karibia Mil 1.2 hiyo + material ya kupika inafika 1.5

Sasa ukikuta chini ya mwezi mzuka wa kupika umeisha, hasara kubwa sana hiyo.

Ndio maana nashauri anza na budget ndogo, ukiona mzuka upo bado, anza kuexpand mdogo mdogo.

Appliances hakikisha unanunua high quality, na nunua as if haununui tena ndani ya miaka 5 ijayo.

Usinunue friji dogo leo. Ukisema eti nikiwa na familia nitanunua kubwa lake. Hatuendi ivo
Kama anafungua restaurant!, sufuria tatu, bakuli 2, sahani 2 vikombe 3, jiko la gas mengine atanunua kidogo kidogo
 
Nadhani nifuate huu ushauri wako,nitumie 200k kuanza na hivi vidogo hela inayobaki ni bora niweke nguvu sebuleni niwe na sebule kali ya kupumzika nikicheki EPL na kusikiliza muziki.
Yeah...kama no bachelor ukinunua tu vitu vya jikon uwe tayari kuoa bila kutaka
 
Back
Top Bottom