Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Mwaka mpya wa kiserikali umeshaanza, nadhani hapo nyuma tulishapokea shadi mbalimbali kutokana na suala la ajira hususani hizi za ualimu na afya lakini naona bado ubao umenuna
Mbona hili suala la ajira limekuwa kizungumkuti tunasubiria mpaka kichwa kinauma, jamani hawa wenye mamlaka ebu wajaribu kukumbuka zile ahadi zao tusije kuwa tunaishi kwenye nchi ya ahadi
Kweli kula kulamba lamba kushiba imani, tunaomba watoe ajira ili watu wapungue kusubiri mtaani, tena ikipendeza tuanze kupata sisi tunazozingoja kwa hamu
Mbona hili suala la ajira limekuwa kizungumkuti tunasubiria mpaka kichwa kinauma, jamani hawa wenye mamlaka ebu wajaribu kukumbuka zile ahadi zao tusije kuwa tunaishi kwenye nchi ya ahadi
Kweli kula kulamba lamba kushiba imani, tunaomba watoe ajira ili watu wapungue kusubiri mtaani, tena ikipendeza tuanze kupata sisi tunazozingoja kwa hamu