Maandishi ni jambo moja, utendaji ni jambio lingine, subira yavuta kheri...
Hiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!Kwa siku 90 unaweza kujenga hospital ya 2.5 billion ? Na kumaliza
Andamana basi, ukamfufue kibwengoHiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!
Mkuu hayo ni makaratasi watu wanataka waone! Hatuna tatizo na kutangaza siku 90 ni robo mwaka bado unatangaza tender kweli?Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy
Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Wewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!Andamana basi, ukamfufue kibwengo
Huna akili. The cult followerWewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!
Toka nianze kufuatilia bajeti, kwa mwaka huu wa Fedha 2021/2022, Halmashauri, Majiji wamepeleka fedha nyingi sana kwenye miradi ya Maendeleo kuliko mwaka wowote ule,Mkuu hayo ni makaratasi watu wanataka waone! Hatuna tatizo na kutangaza siku 90 ni robo mwaka bado unatangaza tender kweli?
Guided argument is different from rational argument. I know the volume is low.Mpango alikuwa bwawa la Nyerere juzi tu kukagua maendeleo ya ujenzi japo kasema mkandarasi ni learner (hana uzoefu). Sasa hilo bwawa si litabomoka?
Contradiction: Huwezi kununua wapinzani iwapo "umeshawaua." Wapinzani wanaonunulika siyo wapinzani.Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
Kumuita "takataka" binadamu mwenzako ni dalili za kukosa utu na hekima.Wewe takataka unapenda kubishqna halafu huna akili.
Please wakikupa jibu nistue nijeMwenye kufahamu au kuutambua mradi Unaofanyika au Unaofanywa na unaotokana na Bajeti ya serikali ya Tanzania 2021/22 tafadhali ?
Andika vizuri basi, haraka za nini?Mradi mkubwa ushfanyika; iliyobaki mingi ni ya kikwete
MIRADI ILIYOFANYIKA 2015-2020
1. Kununua Wabunge, madiwani Upunzani-bilioni zaidi ya 30 zilitumika.
2. Kuua upinzani#
3. Wasio julikana -Walilipwa fedha nyingi.
4. Kujilimbikizia.
5.Sinema ya Mo- ewji na kuveshwa khanga.
Utekelezaji unaweza kuwa mika 6 badala ya miezi au mwaka mmoja tu.Kama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy
Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??
Na nasikia jamaa alikuwa akipanga bajeti yake jaipunguzwi hata senti. Yaani bila yeye hizo KM wanazodai alijenga JK zisingekuwepoHiyo miradi yote mi JPM na huyuhyu JPM ndo alimuletea sifa kikwete kwenye ujenzi ndo maana **** watu kama Zitto anakuja kusema Kikwete ndo Kajenga barabara kilometer nyingi huku akisahau mzimamizi wa wizara hiyo alikuwa JPM!
Pole Sana ,kwani uzushi unakusaidia nini mkuu? Kesho nakuletea picha za live za miradi ya barabara za lami,madaraja na madarasa.Bunge la Bajeti limemalizika July2021, hadi sasa hakuna mradi Hata mmoja umeanza au umefanyika kutoka na Bajeti ya 2021/22. Ukinipa Tarura wako hoi, REA wapo hoi, tanesco wako hoi, halmashauri ziko hoi, Tanroads wako hoi, Kila Anakotembelea Rais Amess Hata kuitaja ilani ya ccm 2020/25 . Serikali haina fedha? SGR kimya , bwawa la Nyerere kimya
Hata mimi nimemshangaa huyu mpumbavu, anadhani wote ni wapuuzi kama yeyeUmetumwa uongo hautakufikisha popote
Ndio maana nasema wewe na wenzako ni wajinga na wapuuzi wa mwisho,,mimi ninazo km 2.5 za lami mjini napoishi ,ningeona hii mada mchana ningekupigia pichaMwenye kufahamu au kuutambua mradi Unaofanyika au Unaofanywa na unaotokana na Bajeti ya serikali ya Tanzania 2021/22 tafadhali ?
Yaani nadhani wewe ndio unaota,kwa hiyo mtaani uko peke yako sio? Pole Sana aisee.Wewe najua unapenda maneno na ushabiki uhalisia hutaki! Mambo mengi yamepooza ndo maana mama akaja na mbinu ya fedha za korona wewe subiri matokeo! Infrastructure haijawahi kuendeshwa kisiasa ikatoa matokeo!
Acha ujinga wewe,kwamba Waziri anaweza kumpangia Rais sio?Na nasikia jamaa alikuwa akipanga bajeti yake jaipunguzwi hata senti. Yaani bila yeye hizo KM wanazodai alijenga JK zisingekuwepo
Shida ya wabongo maneno bila taarifa ndugu yanguKama una kampuni na umejiunga na mfumo wa manunuzi wa TANEPS, utakua unajua TARURA wametangaza miradi ya barabara zaidi ya 200, TANROADS wametangaza miradi zaidi ya 60, na mingine wakandarasi wamekua awarded contracts.. bado kuna miradi ya maji zaidi ya 150.. Arusha city council wametangaza ujenzi wa shule zaidi ya tatu na wakandarasi tayari wamekua awarded soon kazi zinaanza.. kifupi miradi mingi and the country is going to be busy
Au unataka tender zitangazwe redioni na mitaani kwa PA systems??