Bajeti ya Tanzania 2019

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
860
Reaction score
620
Ikiwa ni siku ambayo Waziri Mpango anawasilisha Mwelekeo wa hali ya Uchumi mwaka 2018 na mpango wa maendeleo ya Taifa 2019/2020 pia hali ya ukuaji wa Uchumi na maendleo katika nchi za Afrika Mashariki, nimeshutushwa na Bajeti ya Rwanda ambayo toka 2017/2018 mpaka hii ijayo ya 2019/210 inaiacha mbali Tanzania, Kenya, Uganda .... RWANDA INAIZIDI TANZANIA KWA BAJETI KUBWA...!!!!

JE, hii inamaanisha ukuaji wa Wa Uchumi wa Rwanda ni mkubwa kuliko Tanzania au inamaanisha Rwanda ni Nchi tajiri kuliko Tanzania...
Karibuni tujadili...
 


Watanzania ni wengi, nchi ni kubwa, lakini uchumi ni mdogo ajabu, hii inadhihirisha ya kwamba watanzania wana changamoto upande wa kupanua mawazo yao. jameni hata rwanda inawashinda. aaah maskini
 
Watanzania ni wengi, nchi ni kubwa, lakini uchumi ni mdogo ajabu, hii inadhihirisha ya kwamba watanzania wana changamoto upande wa kupanua mawazo yao. jameni hata rwanda inawashinda. aaah maskini
HATARI HII
 
Naomba hii bajet in PDF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…