Bajeti ya wizara ya elimu inasomwa lini?

The Magnificent

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
2,694
Reaction score
1,249
Wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.Ngapi kwnye meals and accomodation!
 
wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.ngapi kwnye meals and accomodation!
books allowance hamuisubiri kwa hamu?
 
Wadau naomba kufahamishwa ni lini bajeti ya wizara ya elimu itasomwa,make wanachuo tunasubiria kwa hamu sana kujua wameongeza sh.Ngapi kwnye meals and accomodation!

Msifurahie madeni, Mtayalipa tu huko mbeleni
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…