Mm Mjanja M1 bajeti yangu ilikuwa ni nauli tu za kunifikisha kwenye majumba ya watu kuupiga Ubweche, maana nimezipitia nyumba kama 5 ivi kwa haraka haraka kuupiga kwenye sikukuu ya Idd Elfitri.
Nilitumia Buku tu, 1000/=
Vipi wewe bajeti yako ilikuwaje.?