Bajeti yangu ya Milioni 5, nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea

Bajeti yangu ya Milioni 5, nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea

manyanga21

Senior Member
Joined
Aug 15, 2018
Posts
164
Reaction score
203
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi
Toyota vitz, Old au New model
Suzuki swift Old au New model
Mwenye ist na rastic anakaribiswa
bajeti yangu ya 5M nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea.
NAITAJI MMILIKI WA GARI SIO DALALI
mwenye nalo tafadhali tuwasiliane, maoni au msaada zaidi wa mawazo ya gari ipi ni nzuri kutokana na bajeti yangu hiyo.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi
Toyota vitz, Old au New model
Suzuki swift Old au New model
Mwenye ist na rastic anakaribiswa
bajeti yangu ya 5M nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea.
NAITAJI MMILIKI WA GARI SIO DALALI
mwenye nalo tafadhali tuwasiliane, maoni au msaada zaidi wa mawazo ya gari ipi ni nzuri kutokana na bajeti yangu hiyo.
Jambo jema utapata tu.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji moja kati ya gari hizi
Toyota vitz, Old au New model
Suzuki swift Old au New model
Mwenye ist na rastic anakaribiswa
bajeti yangu ya 5M nahitaji gari iwe kuanzia namba C iliyo karibu na D na kuendelea.
NAITAJI MMILIKI WA GARI SIO DALALI
mwenye nalo tafadhali tuwasiliane, maoni au msaada zaidi wa mawazo ya gari ipi ni nzuri kutokana na bajeti yangu hiyo.
Kuna namba B Vitz hapa, nipe 5.8 kali sana
 
Back
Top Bottom