HiiHii leo sunday ndo nmeamka nayo.....!!Nnunue nn mana hali mbaya..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ndani kwake hana maji? Achemshe chai ya rangi (kavu) na skonzi au auze radio hiyo 😀Andazi mbili na maji ya kandoro ya mia
yess BiShoo haswaaAaa
[emoji1787][emoji1787] auze tu redio aiseeKwani ndani kwake hana maji? Achemshe chai ya rangi (kavu) na skonzi au auze radio hiyo [emoji3]
Akiuza na hiyo simu yake itakua poa zaidiKwani ndani kwake hana maji? Achemshe chai ya rangi (kavu) na skonzi au auze radio hiyo [emoji3]
You have eyes ....!!!Kwani ndani kwake hana maji? Achemshe chai ya rangi (kavu) na skonzi au auze radio hiyo [emoji3]
Hiyo mia na mia mbili mbona kama nazijua
Inawezekana we ni jiran yangu ulikuja kunitembelea ....Si unakaa hapo jirani kwenye nyumba yenye madirisha na mlango[emoji28]Hiyo mia na mia mbili mbona kama nazijua
Radio ndio mfariji wangu mama.......!!!najiliwaza na musikKwani ndani kwake hana maji? Achemshe chai ya rangi (kavu) na skonzi au auze radio hiyo [emoji3]
Simu nafanyia mishe zangu za kimtandao sema kat hapa hazijaenda pouwa
Inawezekana we ni jiran yangu ulikuja kunitembelea ....Si unakaa hapo jirani kwenye nyumba yenye madirisha na mlango[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja mfupi na mwingine mrefu.........!!! hakika we jiran yanguNdo mimi asee
Hapa ukipita unakutana na watu wawili wamesimama