redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Captain Bakari Nondo Mwamnyeto nakupa maua Yako, Jana katika mechi dhidi ya Azam ulionyesha kitu kikubwa Sana na kwasasa Mimi binafsi naona unastahili Kuanza katika mechi upo tayari.
Jana ulicheza kama Kiongozi, mpambanaji , mfia timu licha yakua na shida kidogo katika ku kokota mpira na baadhi ya pasi ulipoteza ila ulifanya Kila lililo ndani ya uwezo wako kuipambania Yanga.
Sisemi wengine hawakupambana, hapana ila ulicheza kama Mwandamizi, Kuna muda sikuelewa unacheza namba ngapi maana ulishambulia, ulikaba, uli lazimisha na ulistahili kuwa Man of the match.
Nimefurahi kitasa kurudi katika ubora wako, wewe Bakari na Kibabage mmecheza kwa kiwango chajuu Cha kuipambania timu Asante ni Sana.
Naomba Kibwana Shomari asi Kate tamaa aangalie marudio ya hii mechi na Aanzie apo kurejesha ubora wake.
Kama ningekua na namba Yako ningekutumia zawadi , umeonyesha wewe ni mchezaji wa match kubwa
Jana ulicheza kama Kiongozi, mpambanaji , mfia timu licha yakua na shida kidogo katika ku kokota mpira na baadhi ya pasi ulipoteza ila ulifanya Kila lililo ndani ya uwezo wako kuipambania Yanga.
Sisemi wengine hawakupambana, hapana ila ulicheza kama Mwandamizi, Kuna muda sikuelewa unacheza namba ngapi maana ulishambulia, ulikaba, uli lazimisha na ulistahili kuwa Man of the match.
Nimefurahi kitasa kurudi katika ubora wako, wewe Bakari na Kibabage mmecheza kwa kiwango chajuu Cha kuipambania timu Asante ni Sana.
Naomba Kibwana Shomari asi Kate tamaa aangalie marudio ya hii mechi na Aanzie apo kurejesha ubora wake.
Kama ningekua na namba Yako ningekutumia zawadi , umeonyesha wewe ni mchezaji wa match kubwa