Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Ndugu watanzania,nahisi ni wakati wa kuambiana ukweli hasa pale kwenye mwinuko kabla ya kushuka mlima...nafurahi sana kuona wah wafanyabiashara zao Bw Bakheresa na bw MENGI..kwa kutoa mamiliion mia5 kwenye masaccos...na alot of money kwa waliofunga kama futari...ila bado najiuliza mbona pamoja na pesa zote hizo wafanyakazi wenu wanaendelea kuteseka jamani....ni MAJUZI TU WAFANYAKAZI WA BAKHERESA WAMEGOMA KUFANYA KAZI...BAKHERESA NI STAREHE GANI MNAPATA KWA KUWAPA WATU MKATABA WA MIEZI MIWILI MIWILI NA FAMILIA ZAO HUKU UKIMWAGA MAMILLION KWENYE TV..KWA WAGONJWA NA WNEGINE...HAMJUI BARAKA ZINAANZIA NYUMBANI KWENU....ACHENI KUKIMBILIA KUTOA MISAADA KWA WA NJE HUKU WAFANYAKAZI WENU WAKITUOMBA NAULI ZA KUJA HUKO MAOFISINI MWENU....HYO MNAYOFANYA SI THAWABU KABISA...NA WALA MSITARAJIE KUPATA THAWABU MAANA KWA NYUMA WAPAO WANANUNGUNIKA ....JARIBUNI KUWAJALI WAFANYAKAZI WENU....MUNGU HAPENDI....MH MENGI ITV ...NA MAAKAMPUNI YAKO WATU WENGI WANALALAMIKA MISHAHARA MIBOVU ...MAISHA MAGUMU YYYYYYYYYYYY???????????
BIBLIA INASEMA BARAKA HUANZIA NYUMBANI....
NYIE MNATUFUNDISHA NINI????
BIBLIA INASEMA BARAKA HUANZIA NYUMBANI....
NYIE MNATUFUNDISHA NINI????