PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,175
Nianze kwa kujitambulisha kama mdau wa viwanda na kiwanda changu kina tumia kwa wingi unga wenu wa Azam Ngano.
hapo mwanzo unga wenu ulikua mzuri sana very soft lakini hivi sasa umekua mbaya ule usoft hakuna ukiuangalia utafikiri umechanganywa na unga wa mahindi au mtama.
hautoi bidhaa nzuri kama mwanzo hivyo kama mdau nawaomba umfuatilie jambo hili maana wajanja niwengi. Na mkicheza tutawahama.
hapo mwanzo unga wenu ulikua mzuri sana very soft lakini hivi sasa umekua mbaya ule usoft hakuna ukiuangalia utafikiri umechanganywa na unga wa mahindi au mtama.
hautoi bidhaa nzuri kama mwanzo hivyo kama mdau nawaomba umfuatilie jambo hili maana wajanja niwengi. Na mkicheza tutawahama.