Ndugu zetu wenye asili ya kiasia wanaweza kufikiri wanabaguliwa kwa kutajwa na mengi kwenye "shame list" lakini mfano mzuri wa mfanyabiashara wa Kitanzania mwenye asili ya kiasili ambaye hatujamsikia kwenye ufisadi wala kashfa ya wizi ni Bakhresa. Mimi kama Mtanzania napongeza wafaqnyabiashara wote wanaofanya biashara kihalali na ninapinga vikali ufisadi.
Ndugu zetu wenye asili ya kiasia wanaweza kufikiri wanabaguliwa kwa kutajwa na mengi kwenye "shame list" lakini mfano mzuri wa mfanyabiashara wa Kitanzania mwenye asili ya kiasili ambaye hatujamsikia kwenye ufisadi wala kashfa ya wizi ni Bakhresa. Mimi kama Mtanzania napongeza wafaqnyabiashara wote wanaofanya biashara kihalali na ninapinga vikali ufisadi.
sijakulewa; kwa vile hatujamsikia ina maana anafanya biashara kihalali? Kama si fisadi ni jambo jema kwani tumechoka na orodha ya mafisadi. Ila yeye anachukuliaje suala la ufisadi wa EPA na mambo mengine ya kisiasa nchini. Au yeye hajali lolote linaloendelea as long as biashara zake zinakwenda pouwa tu?
Maana wakati mwingine mafisadi wengine wanakua na kukomaa kwa sababu watu wema wanakaa kimya! Je mtu mwema anayeuona uovu halafu hajitokezi kuupinga au kuukemea wema wake unasaidia vipi kuushinda uovu huo?
Ndugu zetu wenye asili ya kiasia wanaweza kufikiri wanabaguliwa kwa kutajwa na mengi kwenye "shame list" lakini mfano mzuri wa mfanyabiashara wa Kitanzania mwenye asili ya kiasili ambaye hatujamsikia kwenye ufisadi wala kashfa ya wizi ni Bakhresa. Mimi kama Mtanzania napongeza wafaqnyabiashara wote wanaofanya biashara kihalali na ninapinga vikali ufisadi.
sijakulewa; kwa vile hatujamsikia ina maana anafanya biashara kihalali? Kama si fisadi ni jambo jema kwani tumechoka na orodha ya mafisadi. Ila yeye anachukuliaje suala la ufisadi wa EPA na mambo mengine ya kisiasa nchini. Au yeye hajali lolote linaloendelea as long as biashara zake zinakwenda pouwa tu?
Maana wakati mwingine mafisadi wengine wanakua na kukomaa kwa sababu watu wema wanakaa kimya! Je mtu mwema anayeuona uovu halafu hajitokezi kuupinga au kuukemea wema wake unasaidia vipi kuushinda uovu huo?
sijakulewa; kwa vile hatujamsikia ina maana anafanya biashara kihalali? Kama si fisadi ni jambo jema kwani tumechoka na orodha ya mafisadi. Ila yeye anachukuliaje suala la ufisadi wa EPA na mambo mengine ya kisiasa nchini. Au yeye hajali lolote linaloendelea as long as biashara zake zinakwenda pouwa tu?
Maana wakati mwingine mafisadi wengine wanakua na kukomaa kwa sababu watu wema wanakaa kimya! Je mtu mwema anayeuona uovu halafu hajitokezi kuupinga au kuukemea wema wake unasaidia vipi kuushinda uovu huo?
Alijaribu kukifadhili chama cha CUF miaka ile ya 90s na matokeo yake ni kuchomwa moto kwa ngano yake meli nzima, angalau alikua na international certificate iliyokua inathibitisha ya kuwa ngano ile ni safi na inafaa kwa matumizi ya binaadamu. baada ya hapo aliishitaki kampuni ya malaysia kwenye mahakama ya kimataifa ya kibiashara kwa kumuuzia ngano mbovu na hiyo kampuni ikaishitaki serikali ya Tanzania kwa kuchoma ngano safi, yalipoishia mimi sijui. kuanzia hapo huyu bwana hataki tena kusikia siasa za nchi hii badala yake amehamia kwenye football akijaribu kuleta upinzani kwa simba na yanga. ana mipango mizuri kwenye football ikiwa na kuanzisha kituo cha michezo kikubwa.
Kwa hiyo angekuwa mwana CCM machachari tungekula Chapati za ngano ya kuvunda???
Kweli Serikali ya CCM imeoza na kujaa madudu.
Ile kashfa ya Kununua mitambo ya kusaga ya NMC ambayo ilimhusisha Marehemu Semensi yeye Bakhressa hakuwamo??
Yakhe!! Au kwa vile ni mavi ya kale hayanuki ati??
Alifanya ufisadi siku nyingi wengi wakiwa watoto wadogo wenye uwezo wa kulilia Koni zake tukuliko kutafakari kulikoni.
1. Mafia wa kukwepa kulipa KODI
2. Vyakula VIBOVU........na afya zetu.....je ni wangapi wanaugua/waliugua/wamekufa...........etc etc
The guy is another Devil..........
wakati wewe unasema hivyo serikali kwa upande wake inasema ni mmoja wa walipa kodi wakubwa Tanzania (yaani yupo kwenye top 10)
Product zake nyingi zimethibitiswa na TBS na ISO na URS
naomba uthibitisho wa mtu mmoja aliekufa kwa sababu ya Bakhresa Product.
Thanks
Mboka Manyema,
..inaelekea unafahamu kidogo kuhusu huyu Mzee wetu Bakhresa.
..naomba kuuliza amesaidia nini kwao Zanzibar[pemba na unguja]? unaweza kubainisha mradi wowote wa elimu,afya,au maji, ambao amesaidia huko kwao?
..Bakhresa amejitanua kibiashara mpaka Mozambique,Uganda,na Malawi. naomba kufahamishwa kama Bakhresa ana investments zozote za maana ndani ya Zanzibar.
NB:
..wa-Zenj wanalalamika kwamba Tanganyika inawatia umasikini. hawamuoni mwenzao alivyofaidika kibiashara huko Tanganyika na sasa yuko ame-expand kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki.