kuna mtu humu jf alianzisha thread inayoorodhesha watu 'wakwasi' lakin walio i 'screw up' tanzania.
vipi, hatuwezi anzisha thread ingine inayoorodhesha watz waliofanikiwa bila ku 'screw up' tz?
humo tunaweza ona kama bakhrehsa atakuwemo au la. kina mengi na nk.
kama mtu anamjua mtz anayeendesha shughuli zake amseme na ikiwezekana aseme amefanikiwaje etc
yupo mtu kama Saul wa Landmark, sidhani kama jamaa ana trace za ufisadi lakini ni tajiri
wakati wewe unasema hivyo serikali kwa upande wake inasema ni mmoja wa walipa kodi wakubwa Tanzania (yaani yupo kwenye top 10)
Product zake nyingi zimethibitiswa na TBS na ISO na URS
naomba uthibitisho wa mtu mmoja aliekufa kwa sababu ya Bakhresa Product.
Thanks
This JF.Mwanakjj naona unawataka watu wote wawe wanasiasa....na kama wafanya biashara lazima wachanganye biashara zao na SIASA kama za Mh.Mengi...either unataka kuifanya hii thread itoe "thanks" kwa Mengi anaetaka yote mawili...SIASA na BIASHARA.... otherwise endelea na msimamo wako....i do believe kukaa kimya kwa bakhresa na ana-conconcentrate na biashara zake ni much better...
Kuna msemo "concentration is one of the key of success"...Waswahili wanasema mtaka mawili moja humponyoka..."....Kama iman yako asiepayuka ktk SIASA basi nae fisadi...basi wewe nadharia nzima ya ufisad huijui au utakuwa na definition zako.
Kwa mnaosema asaidie ZNZ sijui mwataka afanye nini...ameweka MELI mda mrefu na ndio meli pekee iliyobora na haraka.nafikri Mengine Mh.Mwiba ameweka uzuri juu ya Chuki binafsi za SMZ....Meli ya SMZ taabani...kwa muda mrefu sasa.
Kuhusu Misaada jamaaa anatoa kwa wote...mwaka Jana au Juzi ametoa 400million kwa shule/Chuo cha kikristo hii habari ni public.kwa wenye muda waitafute ktk google....Misaada si muhim kutoa public....Ile ya pale K.Koo n style ya zaman ambayo sasa haifanyiki tena....Kama utaratibu wa Bakhresa ungekuwa ni kutoa misaada kwa waislam pekee, basi Mda mrefu tu wakristo wangeanza kumpiga vita.
kwa mtu anaesema kuhusu NMS...hizo bado ni tuhuma ambazo ni vigumu kuzithibitisha....otherwise wahusika waje na ushahidi. pia kama kununua Maghala yasio na chochote na we ukayaendeleze bado hapo unaonekana ufisadi..OK twendeni..
Kuhusu KODI.....kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa ukiwatoa TBL na TCC, yeye ndie anaefuata kulipa kodi kubwa.
Unaposema anakwepa KODI lazima ulete vigezo otherwise tutakachoona n kuwa Majungu na Chuki zisizo na msingi. kwa taarifa ingine ni mfanyabishara pekee ambae hana MIKOPO YA BANK....kwa wenye marafiki huko Mabenk mnaweza kuwauliza....ni hivi karibuni tu ameanza kujiingiza ktk Biashara za hovyo za STOCK market.....(na huko ndipo atakapopigwa DAFU LAO)
Kuhusu Ubora na watu KUFA, nafikiri wadau tuwe serious. Ushahidi huu hadi sasa haupo.kama upo, waandish wote wamehongwa wasitoe data hizo? unazo wewe Ogah peke yako?....pls kama unazo tusaidie.
Pia khs ubora nafikiri vitu ambavyo vinajadilika...kwanza inabidi tutatue tatizo la Msingi TBS....kuna matatizo Mengi ktk Ubora wa vitu vingi...na hapa si tu TBS bali hata maafisa wa AFYA wa Halmashauri wa Jiji.Binafsi ni mtu wa viwango si mchezo....the way ninavyotembea na watu tukifika ktk Mgahawa tukianza kuchambua...ni hatari..bahati mbaya ...Watz tumekuwa hatuna Viwango...na ukigomba viwangoa rafiki zako watakuona unajiona sana.
Fikeni ktk Migahawa wadau mjionee.....Huwezi amin watz hata KUOSHA VIKOMBE vya CHAI hatuwezi...vikombe vimejaa ukungu...na ukisema unaonekana wewe tatizo....same sometimes hata mikate ya bakhresa pia inakuwa mibovu..either from day 1 au sie wengine huku Tandika tulipo tunaletea ishakaa siku 2 au 3....
Bro Nenda soko la lolote ukajionee watu wanavyomwaga mchele au unga Hovyo.....Magunia hayana size...Lumbesa...hadi unajiulza TBS wako wapi?...ila TBS ukitaka uwajue Lete gari lako kutoka UK, then uone kasheshe lake....
This is JF.Mwanakjj naona unawataka watu wote wawe wanasiasa....na kama wafanya biashara lazima wachanganye biashara zao na SIASA kama za Mh.Mengi...either unataka kuifanya hii thread itoe "thanks" kwa Mengi anaetaka yote mawili...SIASA na BIASHARA.... otherwise endelea na msimamo wako....i do believe kukaa kimya kwa bakhresa na ana-conconcentrate na biashara zake ni much better...
Kuna msemo "concentration is one of the key of success"...Waswahili wanasema mtaka mawili moja humponyoka..."....Kama iman yako asiepayuka ktk SIASA basi nae fisadi...basi wewe nadharia nzima ya ufisad huijui au utakuwa na definition zako.
Kwa mnaosema asaidie ZNZ sijui mwataka afanye nini...ameweka MELI mda mrefu na ndio meli pekee iliyobora na haraka.nafikri Mengine Mh.Mwiba ameweka uzuri juu ya Chuki binafsi za SMZ....Meli ya SMZ taabani...kwa muda mrefu sasa.
Kuhusu Misaada jamaaa anatoa kwa wote...mwaka Jana au Juzi ametoa 400million kwa shule/Chuo cha kikristo hii habari ni public.kwa wenye muda waitafute ktk google....Misaada si muhim kutoa public....Ile ya pale K.Koo n style ya zaman ambayo sasa haifanyiki tena....Kama utaratibu wa Bakhresa ungekuwa ni kutoa misaada kwa waislam pekee, basi Mda mrefu tu wakristo wangeanza kumpiga vita.
kwa mtu anaesema kuhusu NMS...hizo bado ni tuhuma ambazo ni vigumu kuzithibitisha....otherwise wahusika waje na ushahidi. pia kama kununua Maghala yasio na chochote na we ukayaendeleze bado hapo unaonekana ufisadi..OK twendeni..
Kuhusu KODI.....kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa ukiwatoa TBL na TCC, yeye ndie anaefuata kulipa kodi kubwa.
Unaposema anakwepa KODI lazima ulete vigezo otherwise tutakachoona n kuwa Majungu na Chuki zisizo na msingi. kwa taarifa ingine ni mfanyabishara pekee ambae hana MIKOPO YA BANK....kwa wenye marafiki huko Mabenk mnaweza kuwauliza....ni hivi karibuni tu ameanza kujiingiza ktk Biashara za hovyo za STOCK market.....(na huko ndipo atakapopigwa DAFU LAO)
Kuhusu Ubora na watu KUFA, nafikiri wadau tuwe serious. Ushahidi huu hadi sasa haupo.kama upo, waandish wote wamehongwa wasitoe data hizo? unazo wewe Ogah peke yako?....pls kama unazo tusaidie.
Pia khs ubora nafikiri vitu ambavyo vinajadilika...kwanza inabidi tutatue tatizo la Msingi TBS....kuna matatizo Mengi ktk Ubora wa vitu vingi...na hapa si tu TBS bali hata maafisa wa AFYA wa Halmashauri wa Jiji.Binafsi ni mtu wa viwango si mchezo....the way ninavyotembea na watu tukifika ktk Mgahawa tukianza kuchambua...ni hatari..bahati mbaya ...Watz tumekuwa hatuna Viwango...na ukigomba viwangoa rafiki zako watakuona unajiona sana.
Fikeni ktk Migahawa wadau mjionee.....Huwezi amin watz hata KUOSHA VIKOMBE vya CHAI hatuwezi...vikombe vimejaa ukungu...na ukisema unaonekana wewe tatizo....same sometimes hata mikate ya bakhresa pia inakuwa mibovu..either from day 1 au sie wengine huku Tandika tulipo tunaletea ishakaa siku 2 au 3....
Bro Nenda soko la lolote ukajionee watu wanavyomwaga mchele au unga Hovyo.....Magunia hayana size...Lumbesa...hadi unajiulza TBS wako wapi?...ila TBS ukitaka uwajue Lete gari lako kutoka UK, then uone kasheshe lake....
Mboka Manyema,
..ninachozungumzia mimi ni Bakhresa kuwapa wananchi wenzake "ndowana" wavue, siyo "samaki" wale.
..la kwanza, ingependeza kama angefungua viwanda Zanzibar na kuajiri wananchi huko.
..la pili, binafsi ningefurahi sana kama Bakhresa angesaidia katika ujenzi wa shule,zahanati,miradi maji, utunzaji misitu na vyanzo vya maji etc.
Ushaleta suala la udini hapa.We kwako kila kitu ni waislam waislam...Kata issue,kama huna la maana just SHUT UP!
mengi ana wazo zuri ila tatizo hii vita ya ufisadi imekuwa personalized mnoo..
kitu anachokifanya mengi cha kuwashutumu hawa mafisadi ni muhimu sana kwa nchi kama TZ ambayo watu walioelimika na kuelewa ni kidogo sana.
mafisadi njia wanayoitumia ni kukaa kimya kwa ajili wanajua watanzania watasahau na story itakwisha.
kitu anachokifanya mengi ni kuhakikisha wa TZ hawasahau na story haiishi na ndio maana makamba anang'ang'nia kusema imekwisha.
wafanyabiashara wa TZ waige mfano wa mengi na sio kwa ajili wao wanapata basi hawawajali wananchi wala nchi, pesa zinaibiwa wao wanakaa kimya tu....
nchi yeyote inakuwa kutokana na wazalendo.....
jamii iliyoelimika na ya matajiri TZ kazi yake kubwa ni vimisaada midogomidogo ili waaonekane wanasaidia, kama unataka kumsaidia mTZ kwa dhati lazima upambane na mafisadi
baharesa amechomewa unga amekaa kimya....
mengi amekataliwa kununua KLM Hotel na mambo kibao lakini hajakaa kimya ndio kwanza ameongeza GIA, na ana risk mambo yake mengi tu, huu ndio uzalendo.....
wafanya biashara waliokaa kimya sio wazalendo........
Kikojozi said:Mi nadhani hizi ni fikra za kitumwa na tegemezi.
Let the man mind his own business as long as anafuata sheria za nchi.
Kuna mamlaka husika zilizopewa majukumu ya kukusanya kodi na kutoa huduma muhimu kwa umma.
Kikojozi,
..siyo mawazo ya kitumwa kumshauri Bakhresa kusaidia ktk shughuli za ujenzi wa taifa kama ujenzi wa mashule, vyuo, zahanati, au hospitali.
..Tanzania tuko nyuma ktk masuala ya Philantophy. kuna jitihada zimeanza kuonekana lakini zinaelekezwa zaidi ktk michezo na siyo huduma za jamii.
..nakushauri utafiti historia ya tajiri wa Marekani Andrew Carnegie ambaye alitoa mchango mkubwa ktk kuanzisha Carnegie Mellon Univ utaelewa nazungumzia kitu gani.
..uko sahihi kwamba kuna taasisi za serikali zinazoshughulika na utoaji huduma za jamii. lakini sidhani hata siku moja itafika tukaelemewa na wingi wa mashule,hospitali etc etc. kwa msingi huo bado tunapaswa kuhimiza michango ya watu binafsi.