Bakhresa ili timu yako itoboe kitaifa na kimataifa ushauri wangu mimi kama ni huu

Bakhresa ili timu yako itoboe kitaifa na kimataifa ushauri wangu mimi kama ni huu

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,074
Reaction score
6,472
Tenga muda chukua wachezaji wako wote uwe unapita kuwa pitisha kwenye viwanda vyako ili waone hela ya mshahara wao inavyopatikana na unapokuwa unawapeleka usiongee nao chochote we nyosha tu vidole kwa ishara

Ukimaliza hapo wapeleke kwenye mashamba yako ya katani na miwa nako wakaone hela yao inavyopatikana toka hapo warudishe kiwanjani, ukiona bado wanazembea wanunulie maovaloli wapeleke viwandani na mashambani alafu sajili upya wachezaji wengine

Maana haiwezekana timu ina pesa alafu inakuwa na watu wa hovyo

Pia soma:Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe
 
Penye miti hakuna wajenzi, unaweza kupewa kila kitu bado ukadai kimoja ukasahau ulivyonavyo, kiumbe anayeitwa mwanadamu hajakamilika.
 
Tenga muda chukua wachezaji wako wote uwe unapita kuwa pitisha kwenye viwanda vyako ili waone hela ya mshahara wao inavyopatikana na unapokuwa unawapeleka usiongee nao chochote we nyosha tu vidole kwa ishara

Ukimaliza hapo wapeleke kwenye mashamba yako ya katani na miwa nako wakaone hela yao inavyopatikana toka hapo warudishe kiwanjani, ukiona bado wanazembea wanunulie maovaloli wapeleke viwandani na mashambani alafu sajili upya wachezaji wengine

Maana haiwezekana timu ina pesa alafu inakuwa na watu wa hovyo

Pia soma:Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe
Fei Toto akavune mkonge.
 
Ushaur wa hovyo Sana.

Kinachotakiwa ni yeye Bakhresa kuondoa Watanzania wote kwenye management ya Timu had benchi la ufundi asiwepo mbongo yeyote.

Hawa wabongo wameshaathiriwa na Usimba na Uyanga. Michuano mingine kwao haina maana yoyote.
 
Ushaur wa hovyo Sana.

Kinachotakiwa ni yeye Bakhresa kuondoa Watanzania wote kwenye management ya Timu had benchi la ufundi asiwepo mbongo yeyote.

Hawa wabongo wameshaathiriwa na Usimba na Uyanga. Michuano mingine kwao haina maana yoyote.
Pale udini umeshika hatamu nalo ni tatizo, professionalism haipewi kipaumbele.
 
AZAM ilitakiwa iwe kama man city ya bongo, iachane na utan wa jadi wa liverpool na man u au arsenal na chelsea.. wao wa focus kwenye kuwa na management ya maana, weka mpunga.. tafuta matokeo, kama kocha ni shida badilisha kama wachezaji ni shida badilisha,, tulitegemea kuona nguvu ya pesa na kwamba mpira wa kisasa ni uwekezaji na sio bla bla... ni bahat mbaya azam pamoja na yote aliyyonayo kaishia kua level za kawaida sana
 
Tenga muda chukua wachezaji wako wote uwe unapita kuwa pitisha kwenye viwanda vyako ili waone hela ya mshahara wao inavyopatikana na unapokuwa unawapeleka usiongee nao chochote we nyosha tu vidole kwa ishara

Ukimaliza hapo wapeleke kwenye mashamba yako ya katani na miwa nako wakaone hela yao inavyopatikana toka hapo warudishe kiwanjani, ukiona bado wanazembea wanunulie maovaloli wapeleke viwandani na mashambani alafu sajili upya wachezaji wengine

Maana haiwezekana timu ina pesa alafu inakuwa na watu wa hovyo

Pia soma:Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe
Anachopaswa kufanya ni menejiment tu kuchukua watu wa nje wote zakazakazi sijui akina nani awatoe wote asiwepo mzanzibar au mtanganyika wenye mapenzi na timu hizo nje ya hapo hafiki popote yaani popati kiongozi hafu ushinde 🤣
 
Tenga muda chukua wachezaji wako wote uwe unapita kuwa pitisha kwenye viwanda vyako ili waone hela ya mshahara wao inavyopatikana na unapokuwa unawapeleka usiongee nao chochote we nyosha tu vidole kwa ishara

Ukimaliza hapo wapeleke kwenye mashamba yako ya katani na miwa nako wakaone hela yao inavyopatikana toka hapo warudishe kiwanjani, ukiona bado wanazembea wanunulie maovaloli wapeleke viwandani na mashambani alafu sajili upya wachezaji wengine

Maana haiwezekana timu ina pesa alafu inakuwa na watu wa hovyo

Pia soma:Viongozi wa Azam sikilizeni ushauri wangu kama mnataka kweli kuiletea heshima nchi na Bakhresa mwenyewe
Mm naona pia udini ni tatzo pale ,,,maana kama wanataka timu iwe Bora wanatakiwa kuangalia quality na sio mambo ya din
 
Back
Top Bottom