Bakhressa ashusha boti mpya Kilimanjaro V

Maalim seif anasema CUF ikichukua nchi atavunja muungano na sisi tunasema muungano ukivunjika bhakresa atakuwa mpemba wa kwanza kurudishwa kwao hizo boti zitakuwa zinafanya safari ya unguja na pemba.
huyu jamaa akiona dume linatomba ananuna dume hilo hilo likigeuzwa yeye atanuna tena sijui wanataka nini. sijawah sikia seif kutaka kuvunja muungano labdaaliaema anataka muungano wa kuheshimiana
 
Lakini Bado ni Mwarabu/Muhindi!
kwel mkuu sisi tubaki kuamin uchawi na ujinga. nafkiri utakuwa unafkiria hapo kumpita bakhresa kwa utajiri wa kwenda kunyofoa viungo vya binaadam mwenzako tena mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…