sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,540
- 9,473
Baraza la Kiswahili la Taifa limezitaka mamlaka zote zinashughulika na kucimamia teknolojia ya habari (Tehama) pamoja na vyombo vya habari (ikiwa ni pamoja na JF) kusitisha matumizi ya maneno "king'amuzi" na "dijitali" kwa kuwa hayasadifu maana halici kwa lugha ya kiswahili..
Istilahi sahihi ni "kisimbuzi" na "dijiti"..
Kwa hiyo wana JF mnaombwa sana kuzingatia matumizi sahihi ya istilahi hizo..
Istilahi sahihi ni "kisimbuzi" na "dijiti"..
Kwa hiyo wana JF mnaombwa sana kuzingatia matumizi sahihi ya istilahi hizo..