BAKITA watakuwa na homa za manjano, lugha ni sauti za nasibu na kamwe neno huwa halikataliwa ispokuwa kama litakuwa chukizo au litakuwa lisilo faaa mbele ya jamii, kwaiyo waliiache tu king'amuzi litawale maana tangu linachukua kasi wwalikuwa wapi? na wakati kila mwezi wanatakiwa wawe wanatoa jarida la maendeleo ya kiswahili lakini wamelala tu, kwaiyo hapo lugha itakuwa iekuwa na kuongezeka msamiati, maneno king'amuzi na dijitali yaendelee na pia kisimbuzi na dijiti yaendelee tuu.