Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,631
- 3,527
Sote tumekuwa tukisikia na kutumia jina KAMANDA, Je nini maana yake? na ni nani hasa walengwa wa matumizi ya neno hilo?
Je ni sahihi kulitumia neno hilo nje ya matumizi yake?
Kama kuna mbadala wa matumizi yake, Je ni yapi na kwanini?
Je ni sahihi kulitumia neno hilo nje ya matumizi yake?
Kama kuna mbadala wa matumizi yake, Je ni yapi na kwanini?