Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Baba nchi ya wote hii, na hiyo siyo excuse. Elewa kuwa hata tunapowalalamikia wazungu kuwa wanatukandamiza, wao wanaona halali kwa vile maendeleo yote ya teknolojia yameanzishwa kwao, na nyie ni wa kutumiwa tu.waraka huu umejaa malalamiko yasio na ufafanuzi wa kina. na sio mikakati ya kujikwamua.
Wakristo wanapendelewa, aje? Ila pia tunapaswa tuelewe kwamba nafasi hizi za uongozi zinahitaji kwenda shule na ukiangalia kwa ratio wakristo wameweka msisitizo mkubwa kwenye elimu na ndio kinachowasaidia.
Kikubwa hapo wanatakiwa waislamu kutia bidii kujenda mashule na wahakikishe yanatoa wlimu bora na sio kama zilivyo sasa hivi mfano mdogo ukiwa Sekondari ya Al Harmain
Na mambo kama hayo ndio yalikuwa chanzo cha ugomvi Rwanda na Burundi. Mkiwa mmeichoka amani OK. lAKINI KAMA NI WAPENZI WA AMANI BASI NJIA PEKEE NI MAZUNGUMZO.