Bakwata itatoa tamko walinzi wa kiume kuingia na kuchanganyika na wanawake ni ruksa

Bakwata itatoa tamko walinzi wa kiume kuingia na kuchanganyika na wanawake ni ruksa

Mohamed Abubakar

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2014
Posts
984
Reaction score
1,179
Moyo wangu unajisukuma kuandika haya, kwa kuwa naona kesho.

Ndani ya muda mchache kuanzia sasa Baraza kuu la waislam wa BAKWATA litatoa tamko kuwa ni sahihi kwa walinzi wa Rais kuingia na kuchanganyika na wanawake.

Sababu kuu ikiwa ni Quran haijakataza kuchanganyika sawa na tofauti za kijinsia.

Bakwata inasema uharamu sio kuchanyakinyia kati ya wanawake na wanaume. Bali uharamu ni kushiriki kwa waislam kuwa kiongozi ambae atalazimika kufungua viwanda vya pombe, kufungua biashara za casino na mfano wa hizo ambazo ni kinyume na uislam.

Kuhusu kuchanganyika kati ya wanaume na wanawake msikitini hakuna ayah ndani ya Quran iliyokataza hilo.

Na kwamba tupo tunatawaliwa na serikali isiyo na dini. Na hivyo tunapaswa kuitii

Hili ni tamko linalotarajiwa kutolewa na bakwata kufuatia sakata wa walinzi wa rais kuingia na kujichanganya katika kati ya waumini wanawake msikitini.

Mjadala mkuu ni je kama sababu ni za ulinzi je walinzi wanawake pekee hawaamini.

Na ikitokea walinzi kuingia na mbwa au nguruwe msikitini kwa vigezo cha ulinzi wa rais pamoja na uharamu wake je bado bakwata watakubaliana na hilo.

Naona kesho, naomba mbali


Pia soma:
-Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

- Shura ya Maimamu Tanzania: Mlinzi Mwanamume wa Rais kuvaa Hijabu na kuingia Msikitini
 
Kama ni sawa hakuna shaka, swali linabaki palepale, kulikua na umuhimu Gani wa kujifanya mwanamke, kujifunika ushungi na kupiga ka make up ka uchokozi?
 
Aliyempaka make up achunguzwe, alishindwa kumyoa ndevu zile?
 
Mtasema yote awamu hii...

Iweje wanawake kuchanganuika na wanaume msikitini isiruhusiwe, ila kwa mlinzi wa Rais [ mwanaume] kuchanganyika na wanawake msikitini iruhusiwe?

Wamekosea halafu wanalazimisha kosa lao liwe sahihi, au huyo mlinzi wa Rais ana jinsia mbili?
 
Hakuna ushahidi kwamba kuna mwanamme aliingia msikitini akakaa upande wa Wanawake 🐼
 
Kama ni sawa hakuna shaka, swali linabaki palepale, kulikua na umuhimu Gani wa kujifanya mwanamke, kujifunika ushungi na kupiga ka make up ka uchokozi???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kivumbii leo
 
Mtasema yote awamu hii...

Iweje wanawake kuchanganuika na wanaume msikitini isiruhusiwe, ila kwa mlinzi wa Rais [ mwanaume] kuchanganyika na wanawake msikitini iruhusiwe?

Wamekosea halafu wanalazimisha kosa lao liwe sahihi, au huyo mlinzi wa Rais ana jinsia mbili?
Umeenda mbali sanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo BAKWATA wanatakiwa kupiga kimya tu na wakifuatwa na waandishi kutoa maoni na wao wanampiga swali mwandishi "ndugu mwandishi wewe umeona wapi wanawake na wanaume wakichangamana wakati wa kuswali".…...mwandishi atabaki kuchekacheka na kukimbilia kujibu swali Kwa yanayoendelea mtandaoni ambako haijathibitishwa kama ni mwanaume
 
Mtasema yote awamu hii...

Iweje wanawake kuchanganuika na wanaume msikitini isiruhusiwe, ila kwa mlinzi wa Rais [ mwanaume] kuchanganyika na wanawake msikitini iruhusiwe?

Wamekosea halafu wanalazimisha kosa lao liwe sahihi, au huyo mlinzi wa Rais ana jinsia mbili?
Wewe una ushahidi?🐼
 
🤔🤔🤔hawa jamaa kwa sarakasi nawakubali watakupiga kiarabu kimoja swalalla swalalaa wanamaliza kwa kusema ni sahihi kabisa...
 
Moyo wangu unajisukuma kuandika haya, kwa kuwa naona kesho.

Ndani ya muda mchache kuanzia sasa Baraza kuu la waislam wa BAKWATA litatoa tamko kuwa ni sahihi kwa walinzi wa Rais kuingia na kuchanganyika na wanawake.

Sababu kuu ikiwa ni Quran haijakataza kuchanganyika sawa na tofauti za kijinsia.

Bakwata inasema uharamu sio kuchanyakinyia kati ya wanawake na wanaume. Bali uharamu ni kushiriki kwa waislam kuwa kiongozi ambae atalazimika kufungua viwanda vya pombe, kufungua biashara za casino na mfano wa hizo ambazo ni kinyume na uislam.

Kuhusu kuchanganyika kati ya wanaume na wanawake msikitini hakuna ayah ndani ya Quran iliyokataza hilo.

Na kwamba tupo tunatawaliwa na serikali isiyo na dini. Na hivyo tunapaswa kuitii

Hili ni tamko linalotarajiwa kutolewa na bakwata kufuatia sakata wa walinzi wa rais kuingia na kujichanganya katika kati ya waumini wanawake msikitini.

Mjadala mkuu ni je kama sababu ni za ulinzi je walinzi wanawake pekee hawaamini.

Na ikitokea walinzi kuingia na mbwa au nguruwe msikitini kwa vigezo cha ulinzi wa rais pamoja na uharamu wake je bado bakwata watakubaliana na hilo.

Naona kesho, naomba mbali


Pia soma:
-Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

- Shura ya Maimamu Tanzania: Mlinzi Mwanamume wa Rais kuvaa Hijabu na kuingia Msikitini
Wakati wa mtume saw walikua wakiswali pamoja,aliposhika hatamu khalifa ummar,akate ganisha,wanawake kwao wanaume kwao,mtume mwenyewe ilikua wanaume mbele wanawake nyuma
 
Mtasema yote awamu hii...

Iweje wanawake kuchanganuika na wanaume msikitini isiruhusiwe, ila kwa mlinzi wa Rais [ mwanaume] kuchanganyika na wanawake msikitini iruhusiwe?

Wamekosea halafu wanalazimisha kosa lao liwe sahihi, au huyo mlinzi wa Rais ana jinsia mbili?
We ulimuona mwanaume'yupi Kaingia kwa wanawake?..unamjua jina?
 
Back
Top Bottom