byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,059
- 946
Msemaji wa mufti amesema ahadi iliyotolewa na waziri wa masuala ya dini wa Saudia Arabia kujenga chuo kikuu kipya cha kiislam nchini Tanzania ni mwendelezo na matokeo ya ziara ya mufti nchini Saudia Arabia.
Swali, Bakwata hamna ardhi mpaka muombe serikali iwapatie ardhi?
Swali, Bakwata hamna ardhi mpaka muombe serikali iwapatie ardhi?